SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,076
Sanaaaa,
Ukimuona humdhanii kabisa
May Allah bless Me and You
Sanaaaa,
Imagine CV hiyo angekuwa nayo Bashite au KIBAJAJI
Pohamba,
..hata bwana JAMES ORENGO kuna mahali inaandikwa kuwa alikuwa deported Tz na kukabidhiwa kwa maafisa usalama wa Kenya.
Hayati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nahisi ulimaanisha watu hatari
Acha uwoga braza lete story na sisi tujue.Usinichukulie "Serious" sana kwenye michango yangu jukwaani!
Umetumwa?
Ila wewe unafatilia kila bandiko nia yako niipi au ndo upo kazini ni asainimenti mkuu nimrkuona kitambo sana haya kila la heri nyie ndo mnanifanya nilale usingizi mnono.Mmmmaaa!!!!! sasa hapo umenifungua macho daah JF kunofu sana, haya pambele mwiya
Mnakoenda mnataka huu uzi ufungwe ....Ni Mabere Nyaucho Marando nae naskia alikuwa Alhamdulillah Hahahah
Hawa ndio waanzilishi wa Upinzani Tanzania
Halafu Mzew Apson ndio Mratibu Hahahaha
Aksante sana Mzee Kambarage kutuwekea 'Misingi' ya Amani na Mshikamano
Malisa yupo Wa Afya Njema.Nahisi hata Malisa hatuko naye
Magufuli kaunda kitengo cha ushauri wa Usalama na mkuu wa kitengo hicho atakuwa Mzee kitine msaidizi wake ni Mzee Apson na wajumbe ni akina Othuman, mwamnyange,mboma, waitara na wengineo lengo lake ni kudumisha Utulivu Nchini Tz na kumsaidia kudumisha Aman.Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.
Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
See Translation[emoji23]Kwenye lugha sasa.....[emoji25] [emoji25] [emoji25]
Mahiga hajawahi kuwa mkuu wa usalama wa taifa, ila aliwahi kuwa mkuu wa usalama wa Rais ikulu
Ni Mabere Nyaucho Marando nae naskia alikuwa Alhamdulillah Hahahah
Hawa ndio waanzilishi wa Upinzani Tanzania
Halafu Mzew Apson ndio Mratibu Hahahaha
Aksante sana Mzee Kambarage kutuwekea 'Misingi' ya Amani na Mshikamano
Ni hatari mwana eagle kuwa na mahaba ktk Ku elezea generational differences au hate kuelezea jamaa aliyepokupokea camp tens kwa issue za kuambiwa, bila kusema watu wana mrate highly. Walikuwa kundi duni, linaloongozwa na tips za marafiki huku tukiwa na raia wenye hofu na waliounganishwa na hofu za adui mkoloni na bepari. Zote ni issues za kufikirika. For the moment intelligentia za akina kova na wengine ni maigizo ktk mdomo wa mamba,lazima mwishowe mamba akutafune ukiweka kiungo chako mdomo kwake.Hawa Wazee kwny ujana wao walikuwa sio Watu wa Mchezo ni Watu Hatari sana sema utu uzima unawafanya tuwaone Kama Simba Wazee
Alifukuzwa na Mwalimu Nyerere kwenye Ukurugenzi wa Usalama wa Taifa kwa kosa la Kununua Mercedez Benz bila ya kumjulisha Mwalimu
Akaja Tena kupoteza Uwaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala bora wa Mzee Benjamin Mkapa kwa kosa la kughushi Malipo ya Matibabu ya Mkewe Nchini Marekani
Alipoongea na Media nyumban kwake Upanga alikanusha tuhuma za kughushi akamtaja PM wa wakati huo ambae kwa sasa ni Mwenyekt wa Chama Fulani kanda ya Pwani kuwa ndie anamchafua kwa kuwa wote wanautaka Urais japo mwishowe wote wakaukosa
No hatari mwana eagle kuwa na mahaba ktk Ku elezea generational differences au hate kuelezea jamaa aliyepokupokea camp tens kwa issue za kuambiwa, bila kusema watu wana mrate highly. Walikuwa kundi dunk, linaloongozwa na tips za marafiki huku tukiwa na raia wenye hofu na waliounganishwa na hofu za adui mkoloni na bepari. Zote ni issue za kufikirika. For the moment intelligentia za akina kova na wengine ni maigizo ktk mdomo wa mamba.
Ndio umenichanganya kabisa Mkuu, bora tu niendelee kuagiza balimi...[emoji39] [emoji39]See Translation[emoji23]
nYaNi wA KaLe
Na hiki ndo kiliharibu utawala wa awamu ya nne, waliwekana kindugu wakakosa uweredi matokeo yake chombo kikawa kinakwenda mrama TISS wakashindwa kufanya kazi yao...CCM na TISS ni Kama LILA na FiLA
Nimeufuatilia huu uzi mwanzo mwisho ila sijaona lolote la maana zaidi ya historia na sifa kedekede za wana usalama wa taifa wa kipindi hicho...jambo la kushangaza ni kwamba mpaka leo uchumi hovyo demokrasia mahututi bin taaban usalama wenyewe nao uko mashakani...
hata hawa millenials wetu wakituangalia wanashindwa kuelewa hizi sifa ni za nini hasa na kwa manufaa gani yasiyoonekana.
Itoshe kusema basi tukae kama taifa na kujadili aidha tuwe nao au tuwafutilie mbali hii idara isiyojulikana kama inalitumikia taifa au chama tawala. Huu ni usalama wa taifa kwa maslahi ya taifa au maslahi ya watawala...hapa tunahitaji mjadala mpana kwa manufaa ya taifa...
malengo ya kuundwa kitengo hicho yalikuwa nini hasa na je bado yanafaa kwa dunia ya sasa tuliyonayo?
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu