Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?

We mbona ulikuwepo
 
hivi huyo mahiga ni kabila gani kwa anayefahamu wakuu?

Sifahamu kabila lake japo nadhan aliwahi kuwa Mbunge wa Makete Kama sijakosea Ila Historia yake inanivutia sana!

Alianza kwa kuwa Mwalimu wa Secondari kule Bukoba baada ya kumaliza Chuo Kikuu

Baadae ikaamriwa wote ambao hawakupita JKT waende Hata Kama Wapo kazini
Hassy akajaribu na wenzie kukwepa Mafunzo ikashindikana mwishowe wakasalim Amri wakaenda na Yeye akapangwa Songea

Baada ya kumaliza Mafunzo ambayo walikuwa hawayapendi kuanzia wanatoka Makazini mpaka wakat wa Mafunzo Hassy akajikuta Miongoni Mwa wanaochaguliwa kubaki kuendelea na JKT rasmi wakat tayari akili yake ilianza kufurahia kurudi kazini na kuanzia hapo ndipo akaanza kuandaliwa na mpaka kufikia Cheo hicho kikubwa cha Ukuu wa Usalama wa Taifa

Mwalimu Nyerere kwny Masuala ya Usalama wa Taifa alikuwa sio Mtu wa Mchezo Mchezo

Aliwahi kupeleka Maafisa 15 Nchini Israel depo la Kina Bregadier Muhidin Kimario kujifunza Mambo ya Usalama bila ya wao wenyewe kujuana kwa kuwa walionekana wana tokea Mataifa ya Nje kwa kuwa Uhusiano wa Isarel na Tanzania haukuwa Mzuri, alitumia hati za kusafiri a za Mataifa Rafiki yenye uhusiano Mzuri na Isarel
 
Sifahamu kabila lake Ila Historia yake inanivutia sana!

Alianza kwa kuwa Mwalimu wa Secondari kule Bukoba baada ya kumaliza Chuo Kikuu

Baadae ikaamriwa wote ambao hawakupita JKT waende Hata Kama Wapo kazini
Hassy akajaribu na wenzie kukwepa Mafunzo ikashindikana mwishowe wakasalim Amri wakaenda na Yeye akapangwa Songea

Baada ya kumaliza Mafunzo ambayo walikuwa hawayapendi kuanzia wanatoka Makazini mpaka wakat wa Mafunzo Hassy akajikuta Miongoni Mwa wanaochaguliwa kubaki kuendelea na JKT rasmi wakat tayari akili yake ilianza kufurahia kurudi kazini na kuanzia hapo ndipo akaanza kuandaliwa na mpaka kufikia Cheo hicho kikubwa cha Ukuu wa Usalama wa Taifa

Mwalimu Nyerere kwny Masuala ya Usalama wa Taifa alikuwa sio Mtu wa Mchezo Mchezo

Aliwahi kupeleka Maafisa 15 Nchini Israel depo la Kina Bregadier Muhidin Kimario kujifunza Mambo ya Usalama bila ya wao wenyewe kujuana kwa kuwa walionekana wana tokea Mataifa ya Nje kwa kuwa Uhusiano wa Isarel na Tanzania haukuwa Mzuri, alitumia hati za kusafiri a za Mataifa Rafiki yenye uhusiano Mzuri na Isarel
Wengi wa TISS wa sasa ni michosho tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Maige ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay

Mweeee!!!!!!!
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
Sasa Hilo nalo Ni jambo la kujadili?
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?

Alikuwa Mkuu wa kitengo chenu mwaka upi huo?
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Maige ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Augustine Mahiga, siyo Maige

No matter how brave you think you are, never underestimate God
 
hivi huyo mahiga ni kabila gani kwa anayefahamu wakuu?

Muhehe wa Ipogoro-Iringa!
Akagonbea kura za maoni Jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM lkn akapigwa na Fredrick Mwakalebela ambaye akaja galagazwa vibaya na mchungaji Msigwa!
Mwaka 2020 atarudi tena Iringa na atashinda kura za maoni lkn hawezi mshinda Msigwa
 
Back
Top Bottom