Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Kuna siku moja niisha wahi kumskia anahojiwa, anasema alisha wahi kuwaokoa watanzania sijui nchi gani ilikuwa na vita

Huyu ndiye waziri ataye baki kwenye baraza la mawaziri 2020...
UN-envoy-mahiga1.jpg
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Mahiga ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Mkuu asante kwa historia nzuri ila kwa kumbukumbu za wahenga agustino mahiga hajawahi kuwa mkurugenzi Tiss , alikaimu miaka ya vita vya kagera ila cheo chake sahii kilikuwa director of research and training , hakuthibitishwa kuwa mkuu wa idara....... Sawa balozi George madafa alikaimu ukurugenzi mkuu na unaibu kipindi cha Jk na Jpm..
 
Matusi ya nini Ndugu,

huu ni Mjadala wa jumla kuna Vitu tunawaeleza Juniors na kuna Vitu tunapata kutoka kwa Wataalam,

kufoji kwake vyeti vya Matibabu ya Mkewe hakufanyi tusijifunze na kutambua role ya Usalama wa Taifa kumdhoofisha Iddi Amin Kabla ya Vita,

Sifa zote za Ushindi wa Vita vya Kagera huwa tunampa General Twalipo na Makamanda wengine na kusahau role ya Usalama wa Taifa chini ya Dkt Hassy Kitine,

Kama kosa la Mtu linaharamisha kusifiwa kwa Mengine Mazuri aliyofanya Basi Hakuna Binadamu anaepaswa kusifiwa kwa kuwa Hakuna Mkamilifu

..nilimuona Mzee Mwanguku mstaafu wa Magereza naye amealikwa.

..Mwanguku ni wa zamani labda aliondoka Magereza kabla hata Mzee Mwinyi hajaingia madarakani. Sina uhakika lakini.

..Pia sina uhakika kama alistaafu mwenyewe au kuna mtikisiko ulitokea akalazimika kujiuzulu. Naomba unikumbushe kuhusu suala hili.

NB.

..IGP Philemon Mgaya, Gen.David Musuguri, Gen.Marwa Waitara, na Col.Hassy Kitine,.ndiyo wastaafu ambao hawakuhudhuria.

..Inawezekana wanasumbuliwa na matatizo ya utu uzima.

Cc Pascal Mayalla
 
Sawa ngoja nijitahidi na nijilazimishe Kukuamini Mkuu. Ila hongera sana kwa kuwa mwana ' Eagle Wing House ' Mkuu kwani nyie ndiyo wenye nchi bhana na mnaila nchi kweli kweli. Ngoja Mimi nibaki tu na hizi Kazi zangu Kuu tatu za Ukulima, Ufugaji na Uvuvi.
Hawa wanafaidi vipi keki ya taifa mkuu? Elezea.
Halafu kwanini watudharau sie wakulima?
 
..nilimuona Mzee Mwanguku mstaafu wa Magereza naye amealikwa.

..Mwanguku ni wa zamani labda aliondoka Magereza kabla hata Mzee Mwinyi hajaingia madarakani. Sina uhakika lakini.

..Pia sina uhakika kama alistaafu mwenyewe au kuna mtikisiko ulitokea akalazimika kujiuzulu. Naomba unikumbushe kuhusu suala hili.

NB.

..IGP Philemon Mgaya, Gen.David Musuguri, Gen.Marwa Waitara, na Col.Hassy Kitine,.ndiyo wastaafu ambao hawakuhudhuria.

..Inawezekana wanasumbuliwa na matatizo ya utu uzima.

Cc Pascal Mayalla
Mzee Mwanguku alistaafu kwa mujibu wa sheria.
Ni mtu mstaarabu, mkimya na hana makeke ya aina yoyote.
He is a honorable man.
 
Mkuu asante kwa historia nzuri ila kwa kumbukumbu za wahenga agustino mahiga hajawahi kuwa mkurugenzi Tiss , alikaimu miaka ya vita vya kagera ila cheo chake sahii kilikuwa director of research and training , hakuthibitishwa kuwa mkuu wa idara....... Sawa balozi George madafa alikaimu ukurugenzi mkuu na unaibu kipindi cha Jk na Jpm..
Uko sahihi kabisa

Cc Pohamba
 
Haikuwa kweli, lile lilikuwa zengwe la Frederick Sumaye.
Na alifanikiwa kutoboa puto la matazamio ya kugombea urais la Kitine.

But as karma would have it, Sumaye sasa hivi anakula mabua,

..mbona wengine wanasema alifanyiwa mzengwe na WANAMTANDAO.

..na Membe ndiye aliyetumwa kumlipua bungeni?

..Kitine alishindwa ubunge na jamaa wa NCCR.

..baadaye ikatokea nafasi iliyokuwa wazi kutokana na kifo cha Tuntemeke.

..Kitine alikwenda akagombea na kushinda. Baada tu ya matokeo kutangazwa Mkapa akamteua Uwaziri.

..sasa waliokuwa wanautamani Uraisi wakaona Kitine atakuja kuwa too powerful ndiyo wakaamua kuilipua upya na scandal ya mke wake.
 
Hassy Kitaine, (alivyokuwa anajiita) nakumbuka alipogombea ubunge iringa mjini akabwaga na ulanzi wa ng'ombe mwakibasa

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
..mbona wengine wanasema alifanyiwa mzengwe na WANAMTANDAO.

..na Membe ndiye aliyetumwa kumlipua bungeni?

..Kitine alishindwa ubunge na jamaa wa NCCR.

..baadaye ikatokea nafasi iliyokuwa wazi kutokana na kifo cha Tuntemeke.

..Kitine alikwenda akagombea na kushinda. Baada tu ya matokeo kutangazwa Mkapa akamteua Uwaziri.

..sasa waliokuwa wanautamani Uraisi wakaona Kitine atakuja kuwa too powerful ndiyo wakaamua kuilipua upya na scandal ya mke wake.

Ila pamoja na yote Hassy Kitine kwa Mtazamo wangu hakufaa kuwa Rais na Bora aliporomoka Kisiasa Ana Tatizo la Over confidence sana
 
Hawa wazee walifundwa na wakafundika. Sio hawa unawachukua UVCCM tena sio UVCCM yakina Lukuvi, Kikwete nk. Hawana busara za uongozi, akishakuwa kiongozi, lugha za staha kwa watu wanazikosa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kizazi hiki nacho kinae Jack Zoka, Miaka ikipita itakuwa ruksa kuzungumza ya Nyuma ya Pazia kumhusu Jabali hili japo kwa sasa hivi haifai kuweka hadharani, Sie tunazungumza ya zamani kwa kuwa kwa kiwango Fulani degree yake ya confidentiality inakuwa imepungua!

Marekani Miaka kadhaa nadhan 30 ikishapita unaweza hata kutunga kitabu kuzungumza baadhi ya Mambo ya 'system'
 
Pohamba,

..ila mzee mwenzangu naomba nitofautiane na wewe kuhusu suala la wahaini wa Kenya waliokimbilia Tz.

..kati ya waliorudishwa Kenya ni Hezekiah Ochuka na Paschal Okumu. Baada ya jaribio kushindwa waliteka ndege na kuja Tanzania.

..serikali ya Tanzania iliwarudisha Kenya kwa kubadilishana na Hatty Mac Ghee na wenzake. Walipofika Kenya Ochuka na Okumu walishtakiwa ktk mahakama ya kijeshi na kuhukumiwa kifo.

..hata bwana JAMES ORENGO kuna mahali inaandikwa kuwa alikuwa deported Tz na kukabidhiwa kwa maafisa usalama wa Kenya.
 
Back
Top Bottom