Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Mahiga ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay

Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mweeee!!!!!!!

Hawa Wazee kwny ujana wao walikuwa sio Watu wa Mchezo ni Watu Hatari sana sema utu uzima unawafanya tuwaone Kama Simba Wazee
Mr X alisema walijaribu kumkamata lakini akawatoroka kwa kuruka ukuta wa nyumba aliyokuwa akiishi.

Akasema wakati wakimkimbiza Komandoo Tamim alidandia gari moja pick-up iliyokuwa imebeba masanduku ya bia na kuanza kuwarushia risasi wana usalama waliokuwa wakimkimbiza, hivyo akapigwa risasi na kufa.
 
The spymaster who wants presidency (Tanzania)
By Staff | The East African June 11, 2015


The latest twist in what is basically a political battle for nomination to become CCM flag bearer in the upcoming presidential contest, but which has thrills commonly associated with suspense movies, is the entry of Dr Hassy Kitine.

The economist, a retired senior army officer, an ex-director general of the Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), and one-time Cabinet minister, announced his bid in Dodoma yesterday.

The event virtually represented re-emergence from oblivion into which he was cast in the wake of allegations of a scandal linked to his wife Saada Mkwawa, and to which he was connected by extension.

The senior citizen who was reportedly one of the closest confidants of founding president Mwalimu Nyerere, told the audience that, if he were elected president, he would pursue the leadership style of the deceased.

He said Mwalimu was one of his major mentors, the other being his grandmother, who had enrolled him in school.

Dr Kitine, one of the latest entrants in the race that has attracted over two dozen participants so far, maintained that he was a clean patriot.

He said allegations of financial wrong-doing attributed to him masked a dirty political game inspired by the perceived threat that he could succeed Third Phase president Benjamin Mkapa.

Dr Kitine was accused of defrauding the government of Sh60 million intended for footing medical bills for his wife in Canada in the 1990s, but which he had allegedly diverted to other purposes.

The alleged schemers were worried stiff, so the theory goes, because Dr Kitine was instrumental in head-hunting then foreign minister Mkapa as the most suitable successor to Mzee Ali Hassan Mwinyi in 2005.

Moreover, in what would pass for victory for his detractors, he resigned from his post as minister for Health during the Mkapa tenure.

The issue was allegedly leaked to the media and some legislators in order to tarnish his image and shatter whatever higher political ambitions he may have nursed.

Dr Kitine emphatically declared that, no president after Nyerere had equaled his record, and that, of the lot now seeking CCM blessings to contest the hot seat, he was the best.

He also urged members of the National Executive Committee (NEC), and the General Congress, not to reject money being dished out by some aspirants.

He remarked: “Take the money but don’t vote for them. After all it is the money they stolen from you when they were ministers and therefore it belongs to you.”

The Mkapa factor

According to well-placed sources, Mwalimu Nyerere, then in retirement but still influential in an advisory capacity, had asked Dr Kitine who, of CCM aspirants, was best placed to succeed Mwinyi as president on the CCM ticket.

Dr Kitine had just returned from Canada where he had spent over 15 years, studying and teaching. He recommended none, noting: “Almost all of them belong to different factions and have credibility problems, which is not good for whoever is seeking the Union presidency.”

And when Mwalimu asked him whom he thought was the right man for the job, Dr Kitine mentioned Ben Mkapa, who he said was free of intra-party frictions and didn’t have credibility problems. It came to pass that, Mwalimu was one of Mkapa’s staunchest campaigners and facilitated his victory in the the 1995 poll.

Not long thereafter, Dr Kitine became Makete MP after Tuntemeke Sanga’s death.

To-date, Dr Kitine, one time also holder of the powerful post of minister of State in the President Office (Security and Intelligence Services), strongly believes he would have been the legitimate successor to Mkapa.

Dr Kitine was one of the most educated soldiers in the TPDF and as a graduate in economics from the University of Dar es Salaam he was an instructor at the Arusha based Monduli Military Academy when Mwalimu Nyerere first came to know him.

It was thus not surprising that Mwalimu would later appoint the then 36-year-old Major Kitine as the youngest TISS director general in 1976.

Major Kitine rose through the military ranks and by the time he was leaving TISS as director general, he was a full TPDF colonel.

Attilio Tagalile is a journalist/author and media consultant and can be reached at atagalile@hotmail.com

.................
Nawasilisha
Ref source:https://asokoinsight.com/news/the-spymaster-who-wants-presidency-tanzania
Kwenye lugha sasa.....[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akina Mahiga wanaijua hii nchi kama kiganja cha mkono wake. Watu wa aina yake wamebaki wachache sana.
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
David Musuguri ulimuona?
 
Siku nyingine utaelezwa Nani alimleta TB Joshua na kwanini aliletwa na Nani aligharimia Safar yake na kwa kazi gani na jee malengo ya kuja kwake baada ya Uchaguzi yalifanikiwa au laa?

Unajua kwanini Uwanja wa ugenini ukifunga goli huwa yanahesabika mawili japo nyote mlikuwa idadi sawa uwanjani Mwanzoni Mwa Mchezo ?

Tupe japo kidogo mkuu....!
 
Siku nyingine utaelezwa Nani alimleta TB Joshua na kwanini aliletwa na Nani aligharimia Safar yake na kwa kazi gani na jee malengo ya kuja kwake baada ya Uchaguzi yalifanikiwa au laa?

Unajua kwanini Uwanja wa ugenini ukifunga goli huwa yanahesabika mawili japo nyote mlikuwa idadi sawa uwanjani Mwanzoni Mwa Mchezo ?
Bado hujanijibu swali langu wanafanya kazi za CCM au za Taifa. Kama kiongozi huko wa CCM anaipeleka nchi shimoni na huyo wa upinzani ndio wa kuiokoa. Je watafanya kazi ya Taifa inachohitaji au kazi ya CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
..si kitine pekee, hata Gen. Waitara hakuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujanijibu swali langu wanafanya kazi za CCM au za Taifa. Kama kiongozi huko wa CCM anaipeleka nchi shimoni na huyo wa upinzani ndio wa kuiokoa. Je watafanya kazi ya Taifa inachohitaji au kazi ya CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app

Zege ni Muunganiko wa Mchanga, Kokoto, Cement na Maji kikipungua kimoja Wapo haliitwi Zege!

Kamati kuu na ya Maadili inapopitia na kupitisha Majina ya Wagombea Urais Moja ya Taarifa wanzojadili ni ya Usalama wa Taifa kuhusu Wagombea wale Ndio sababu nikakupa Mfano wa Mchanganyo wa Zege element zake na ukijaribu kutenganisha huwa Hakuna Zege tutafute jina lingine
 
Mr X alisema walijaribu kumkamata lakini akawatoroka kwa kuruka ukuta wa nyumba aliyokuwa akiishi.

Akasema wakati wakimkimbiza Komandoo Tamim alidandia gari moja pick-up iliyokuwa imebeba masanduku ya bia na kuanza kuwarushia risasi wana usalama waliokuwa wakimkimbiza, hivyo akapigwa risasi na kufa.
Mkuu mwenye hii link atuwekee,napenda sana story za hivi.
 
Siku nyingine utaelezwa Nani alimleta TB Joshua na kwanini aliletwa na Nani aligharimia Safar yake na kwa kazi gani na jee malengo ya kuja kwake baada ya Uchaguzi yalifanikiwa au laa?

Unajua kwanini Uwanja wa ugenini ukifunga goli huwa yanahesabika mawili japo nyote mlikuwa idadi sawa uwanjani Mwanzoni Mwa Mchezo ?
Tuelezee kidogo mkuu
 
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is an asset

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
Sio wote walihudhuria hata kama walipewa mwaliko...Kuna shida binafsi,maradhi,kuwepo nchini au nje ya nchi.

Watanzania tunapenda kutafuta maneno maneno tu.
 
Sifahamu kabila lake japo nadhan aliwahi kuwa Mbunge wa Makete Kama sijakosea Ila Historia yake inanivutia sana!

Alianza kwa kuwa Mwalimu wa Secondari kule Bukoba baada ya kumaliza Chuo Kikuu

Baadae ikaamriwa wote ambao hawakupita JKT waende Hata Kama Wapo kazini
Hassy akajaribu na wenzie kukwepa Mafunzo ikashindikana mwishowe wakasalim Amri wakaenda na Yeye akapangwa Songea

Baada ya kumaliza Mafunzo ambayo walikuwa hawayapendi kuanzia wanatoka Makazini mpaka wakat wa Mafunzo Hassy akajikuta Miongoni Mwa wanaochaguliwa kubaki kuendelea na JKT rasmi wakat tayari akili yake ilianza kufurahia kurudi kazini na kuanzia hapo ndipo akaanza kuandaliwa na mpaka kufikia Cheo hicho kikubwa cha Ukuu wa Usalama wa Taifa

Mwalimu Nyerere kwny Masuala ya Usalama wa Taifa alikuwa sio Mtu wa Mchezo Mchezo

Aliwahi kupeleka Maafisa 15 Nchini Israel depo la Kina Bregadier Muhidin Kimario kujifunza Mambo ya Usalama bila ya wao wenyewe kujuana kwa kuwa walionekana wana tokea Mataifa ya Nje kwa kuwa Uhusiano wa Isarel na Tanzania haukuwa Mzuri, alitumia hati za kusafiri a za Mataifa Rafiki yenye uhusiano Mzuri na Isarel
Nilisoma mahojiano ya marehemu kimario kwenye gazeti anakiri alipelekwa Israel bila yeye kujua. Alifikiri anaenda kusoma shahada ulaya mashariki kumbe nyerere kapanga aende Israel kusomea ujeshi na ujasusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom