Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Muhehe wa Ipogoro-Iringa!
Akagonbea kura za maoni Jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM lkn akapigwa na Fredrick Mwakalebela ambaye akaja galagazwa vibaya na mchungaji Msigwa!
Mwaka 2020 atarudi tena Iringa na atashinda kura za maoni lkn hawezi mshinda Msigwa

kwann hawezi kushinda ua umri? labda au uchoyo?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Huenda Mpaka sasa Tanzania haijapata Mtaalam wa kudungua ( Sniper) wa kiwango cha Mahiga

Kuna Mzee Mmoja Mstaafu wa pale Makumbusho aliwahi kuniambia Mahiga alijifunzia Yugoslavia ya Kijamaa 1970s Makitu kiasi kwamba kWenye Mazoezi Yao walikuwa wanapanda Magari mawili tofauti yanayoenda kwa kasi kwa uelekeo tofauti lakin Balozi alikuwa na uwezo wa kumdungua anaemtaka ndani ya Gari tofauti!

Kwanini asipatikane? Kinachotakiwa ni training na utulivu wa akili. Nenda makambini ukajionee.
 
Daah kumbe alikua Bosi wako daah anaonekana mstaarabu sana huyu mzee umri umemtupa na bado ni resource sana kwenye mambo yenu mkuu

Wakuu wa Usalama wa Taifa wanapumzika kuja kazini huwa hawastaafu, nilimshangaa sana Mzee wetu Mzee Ngoyai kuamini Mzee Apsn Mwang'onda kaastafu mpaka akamuamini akawa ndio Cordinator wa Kampen zake za Urais hata baada ya kuhamia Chadema.

Yaliyotokea Wiki ya Mwisho ya October kabla ya kupiga kura ndani ya Kambi ya Ukawa yatakuwa yamempa Somo kubwa sana Mstahiki Mzee Ngoyai japo we can't undue the Past
 
Wakuu wa Usalama wa Taifa wanapumzika kuja kazini huwa hawastaafu, nilimshangaa sana Mzee wetu Mzee Ngoyai kuamini Mzee Apsn Mwang'onda kaastafu mpaka akamuamini akawa ndio Cordinator wa Kampen zake za Urais hata baada ya kuhamia Chadema.

Mmmmaaa!!!!! sasa hapo umenifungua macho daah JF kunofu sana, haya pambele mwiya
 
Wakuu wa Usalama wa Taifa wanapumzika kuja kazini huwa hawastaafu, nilimshangaa sana Mzee wetu Mzee Ngoyai kuamini Mzee Apsn Mwang'onda kaastafu mpaka akamuamini akawa ndio Cordinator wa Kampen zake za Urais hata baada ya kuhamia Chadema.

Yaliyotokea Wiki ya Mwisho ya October kabla ya kupiga kura ndani ya Kambi ya Ukawa yatakuwa yamempa Somo kubwa sana Mstahiki Mzee Ngoyai japo we can't undue the Past

Kweli hawa wazee hawastaafu wala hawazeeki haraka, kuna mmoja tokea enzi za Nyerere yupo mjengoni mpaka sasa hivi anapiga kazi mjengoni. Ukimtizama mke wake kazeeka lakini mzee utadhani ana miaka 40.
 
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa aisee, Mahiga issue ya Mkewe ilikuaje kwani??
Au unachanganya na ya Kitine??
 
Tukio LA mkewe lilikuaje na nini kilitokea?
Gazeti la Mtanzania - May 2nd 2016
Screenshot_20170902-100813.png
Screenshot_20170902-100837.png
 
Sifahamu kabila lake japo nadhan aliwahi kuwa Mbunge wa Makete Kama sijakosea Ila Historia yake inanivutia sana!

Alianza kwa kuwa Mwalimu wa Secondari kule Bukoba baada ya kumaliza Chuo Kikuu

Baadae ikaamriwa wote ambao hawakupita JKT waende Hata Kama Wapo kazini
Hassy akajaribu na wenzie kukwepa Mafunzo ikashindikana mwishowe wakasalim Amri wakaenda na Yeye akapangwa Songea

Baada ya kumaliza Mafunzo ambayo walikuwa hawayapendi kuanzia wanatoka Makazini mpaka wakat wa Mafunzo Hassy akajikuta Miongoni Mwa wanaochaguliwa kubaki kuendelea na JKT rasmi wakat tayari akili yake ilianza kufurahia kurudi kazini na kuanzia hapo ndipo akaanza kuandaliwa na mpaka kufikia Cheo hicho kikubwa cha Ukuu wa Usalama wa Taifa

Mwalimu Nyerere kwny Masuala ya Usalama wa Taifa alikuwa sio Mtu wa Mchezo Mchezo

Aliwahi kupeleka Maafisa 15 Nchini Israel depo la Kina Bregadier Muhidin Kimario kujifunza Mambo ya Usalama bila ya wao wenyewe kujuana kwa kuwa walionekana wana tokea Mataifa ya Nje kwa kuwa Uhusiano wa Isarel na Tanzania haukuwa Mzuri, alitumia hati za kusafiri a za Mataifa Rafiki yenye uhusiano Mzuri na Isarel

Sihami Jf
 
Back
Top Bottom