Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,185
- 29,920
Nilimwona kwenye msiba wa Emmanuel Mwambulukutu na alitoa salam pale kanisani, Msasani.Last time nilimuona mahali akiwa anatembea kwa kuchechemea nadhan ana tatizo LA mguu/ miguu! pia umri unachangia ila mentally yuko fit!
Yuko fiti kabisa.