Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

una uhakika kuwa hiyo mipango alipanga yeye na si wababe wetu wa ujasusi idarani!?

Alex Furgeson alisifiwa sana akiwa Manchester japo hakuwa anacheza na Wenger analaumiwa sana Arsenal japokuwa Yeye sio Mchezaji nadhan utakuwa umeelewa kwanini Namsifia Mwl Nyerere kwa kuwa Yeye ndio Kiongozi Mkuu aliekuwa anateua Hao unaowataka niwasifie

Labda hujui tu kuwa Mipango Mikubwa yote huwa lazima ipate baraka za Rais kabla ya kutekelezwa na ikitokea Rais ni Fwalaaaa anaweza akaropoka hadharan Kama Fulani alivyoropoka kuhusu Suala la Kibiti na kudukuliwa kwa simu ya Mwanasiasa aliekuwa anafuatiliwa na Usalama kuhusu kuwasiliana na Acacia

Rais Nyerere lazima tumsifu alipokuwa kafanya vizuri Kama ninavyomkosoa anapokuwa alikosea ndio u Great thinker
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Mahiga ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Mahiga anamtumia any time,maana ni wazir

May Allah bless Me and You
 
Huenda Mpaka sasa Tanzania haijapata Mtaalam wa kudungua ( Sniper) wa kiwango cha Mahiga

Kuna Mzee Mmoja Mstaafu wa pale Makumbusho aliwahi kuniambia Mahiga alijifunzia Yugoslavia ya Kijamaa 1970s Makitu kiasi kwamba kWenye Mazoezi Yao walikuwa wanapanda Magari mawili tofauti yanayoenda kwa kasi kwa uelekeo tofauti lakin Balozi alikuwa na uwezo wa kumdungua anaemtaka ndani ya Gari tofauti!
Mmmh ndio hutu Tustory tunawafanyaga watz wavimbe vichwa na kujiona wanaviongozi makini na kusahau kuwa kuna mkuu wa mkoa kafoji vyeti,serikali haiheshimu mahakama na mauchafu mengine! naamini tuna makinikia tu mengi yapo serikalini tena sehemu nyeti kabisa ndiomaana hatuendelei!
 
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila lilimfedhehesha kwa namna BWANA YULE ALIVYOLISHUGHULIKIA # kimakinikia

May Allah bless Me and You
 
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app

Thank you umenigusa sana baada ya kutambua utulivu mkubwa alionao Mzee Mahiga.Kwa mtazamo wangu waziri mahiga ni miongoni mwa mawaziri wachache wenye nidhamu ya hali ya juu na watiifu wa dhati kwa rais wetu.Ameshika nafasi kubwa za kuaminika kimataifa kakini bado anaitumikia nafasi yake ya uwaziri bila majivuno.Huyu ni mfano wa kuigwa na lazima tujivunie kwamba Rais bado ana mawaziri wazuri wakiwemo akina Hussein Mwinyi na Prof. Mubarawa.Kwa kumalizia lille tukio la mke wa Mahiga na yaliyofuatia baada ya pale yangeweza kuleta mtikisiko kwake lakini alitulia kama siyo yeye.
 
Mmmh ndio hutu Tustory tunawafanyaga watz wavimbe vichwa na kujiona wanaviongozi makini na kusahau kuwa kuna mkuu wa mkoa kafoji vyeti,serikali haiheshimu mahakama na mauchafu mengine! naamini tuna makinikia tu mengi yapo serikalini tena sehemu nyeti kabisa ndiomaana hatuendelei!

Haihusian na tunachojadili!
 
Alex Furgeson alisifiwa sana akiwa Manchester japo hakuwa anacheza na Wenger analaumiwa sana Arsenal japokuwa Yeye sio Mchezaji nadhan utakuwa umeelewa kwanini Namsifia Mwl Nyerere kwa kuwa Yeye ndio Kiongozi Mkuu aliekuwa anateua Hao unaowataka niwasifie

Labda hujui tu kuwa Mipango Mikubwa yote huwa lazima ipate baraka za Rais kabla ya kutekelezwa na ikitokea Rais ni Fwalaaaa anaweza akaropoka hadharan Kama Fulani alivyoropoka kuhusu Suala la Kibiti na kudukuliwa kwa simu ya Mwanasiasa aliekuwa anafuatiliwa na Usalama kuhusu kuwasiliana na Acacia

Rais Nyerere lazima tumsifu alipokuwa kafanya vizuri Kama ninavyomkosoa anapokuwa alikosea ndio u Great thinker
kwani kazi za idara zinaanzia na kuishia kwa wateule wa rais idarani?
 
kwani kazi za idara zinaanzia na kuishia kwa wateule wa rais idarani?

Hapa tunajadili nafasi na role za Wakurugenzi Wakuu wa Usalama wa Taifa na baadhi ya mambo ya kusisimua ya level ya Nchi ambazo ni lazima yafanywe na Wateule wa Rais, Masuala ya Uhaini na jinsi ya ku deal nayo hayafanywi na Usalama alieko Masijala ya Shule
 
Hapa tunajadili nafasi na role za Wakurugenzi Wakuu wa Usalama wa Taifa na baadhi ya mambo ya kusisimua ya level ya Nchi ambazo ni lazima yafanywe na Wateule wa Rais, Masuala ya Uhaini na jinsi ya ku deal nayo hayafanywi na Usalama alieko Masijala ya Shule
umeanza mipasho
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Mahiga ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Mahiga hajawahi kuwa mkuu wa usalama wa taifa, ila aliwahi kuwa mkuu wa usalama wa Rais ikulu
 
Kitine huyu aliefuja fedha hovyo kutibu mkewe, kwa kuzidisha gharama za matibabu akiwa wizara afya!
Kweli wewe ni kiazi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi ya nini Ndugu,

huu ni Mjadala wa jumla kuna Vitu tunawaeleza Juniors na kuna Vitu tunapata kutoka kwa Wataalam,

kufoji kwake vyeti vya Matibabu ya Mkewe hakufanyi tusijifunze na kutambua role ya Usalama wa Taifa kumdhoofisha Iddi Amin Kabla ya Vita,

Sifa zote za Ushindi wa Vita vya Kagera huwa tunampa General Twalipo na Makamanda wengine na kusahau role ya Usalama wa Taifa chini ya Dkt Hassy Kitine,

Kama kosa la Mtu linaharamisha kusifiwa kwa Mengine Mazuri aliyofanya Basi Hakuna Binadamu anaepaswa kusifiwa kwa kuwa Hakuna Mkamilifu
 
Back
Top Bottom