Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Nimeufuatilia huu uzi mwanzo mwisho ila sijaona lolote la maana zaidi ya historia na sifa kedekede za wana usalama wa taifa wa kipindi hicho...jambo la kushangaza ni kwamba mpaka leo uchumi hovyo demokrasia mahututi bin taaban usalama wenyewe nao uko mashakani...

hata hawa millenials wetu wakituangalia wanashindwa kuelewa hizi sifa ni za nini hasa na kwa manufaa gani yasiyoonekana.

Itoshe kusema basi tukae kama taifa na kujadili aidha tuwe nao au tuwafutilie mbali hii idara isiyojulikana kama inalitumikia taifa au chama tawala. Huu ni usalama wa taifa kwa maslahi ya taifa au maslahi ya watawala...hapa tunahitaji mjadala mpana kwa manufaa ya taifa...

malengo ya kuundwa kitengo hicho yalikuwa nini hasa na je bado yanafaa kwa dunia ya sasa tuliyonayo?

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Kweli,mkuu wanasifiana sifiana km watu waliosoma kozi za kusifiana kupita uhasilia. Unaweza on a kwanini muda mrefu wanatumia kulazimisha sifa hata ktk mimba zilizotoka. Ndio maana kuna moves mbaya na hazina ulazima wanafanya prematurely na kupoteza muda kuzilinda. Unaweza sikia wakijisifu kumfix raia mnyonge km kibudu. Bado wana guts za kujisifu bila kifani. Km akina chuji,akina diamond ktk magazeti yetu.

USA very professional person ana jina kawaida kabisa.Na wanajitahidi sana kufanya missions zimepimwa sana km kweli ni muhimu. Km kweli hakuna option ingine iliyo safi na effective zaidi. Luna page zimechanwa ktk mafunzo ya eagles wetu.
 
Niliwahi kuona mahojiano ya Mojakwamoja Kati ya Bwana James Orengo na Kituo Kimojawapo Cha Television alielezea hilo.

Jinsi walivyosafirishwa Kutoka Tanzania hadi Kenya na Mateso waliyoyapata wakiwa "uchi" huku wakibanwa waseme yote wanayoyafahamu kuhusiana na jaribio lile. Baadae Orengo aliachiwa hakuonekana na Hatia.
Mkuu analysis na historian kuchanganywa hivi kunaonyesha jinsi ujamaa umejiharibu hadi ndani. Hizi habari na usemaji wake una mixed ideas. Huwa uswahilini hii style huwafaa sana akina Mohammed said.
 
Na hiki ndo kiliharibu utawala wa awamu ya nne, waliwekana kindugu wakakosa uweredi matokeo yake chombo kikawa kinakwenda mrama TISS wakashindwa kufanya kazi yao...
Kuna Baja ya ku brush hawa eagles kwa materials mampya na sio mabaki ya ujamaa kwa vijana was dot com. Hawa vijana wanajilazimisha kuwasifu hawa wazee na kuwalinda na mfumo wao, lakini tayari kuna haja ya new ideas na approaches. Otherwise tutabaki na eagles wenye fikra very local , fikra za kukimbizana na upinzani na kufia ktk kidonda kilichoua hawa wazee wasio na cha kuonyesha taiga kiuchumi au kiintelligentia. Back Luna wanaojidai na uchawi wakati vita ilipiganywa kwa tips za marafiki.
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
Kamauulize mwenyewe sisi tutajuaje ?kila mtu ana shughuli zake.Aalikwe au asialikwe hayatuhusu,wala haitusaidii kutuletea ugali mezani kwa kujua sababu za kwenda au kutokwenda kwenye mwaliko.
 
Hawa wazee wengine walijingiza biashara uchwara na kugaribu cv zao.
Yupo aliekuwa na kashfa za mafuta
Na huyu kitine ana uhusiano na Astra kampuni ya kenya inayo fanya utapeli wa bima kwenye tenda. TPA wanekula sana
 
Kweli,mkuu wanasifiana sifiana km watu waliosoma kozi za kusifiana kupita uhasilia. Unaweza on a kwanini muda mrefu wanatumia kulazimisha sifa hata ktk mimba zilizotoka. Ndio maana kuna moves mbaya na hazina ulazima wanafanya prematurely na kupoteza muda kuzilinda. Unaweza sikia wakijisifu kumfix raia mnyonge km kibudu. Bado wana guts za kujisifu bila kifani. Km akina chuji,akina diamond ktk magazeti yetu.

USA very professional person ana jina kawaida kabisa.Na wanajitahidi sana kufanya missions zimepimwa sana km kweli ni muhimu. Km kweli hakuna option ingine iliyo safi na effective zaidi. Luna page zimechanwa ktk mafunzo ya eagles wetu.
Ukiona nchi haina machafuko na imetulia, ujue kuna watu wanafanya a thankless job kufikia hatma hiyo.
Na hawafanyi hivyo ili kusifiwa.
 
..nilimuona Mzee Mwanguku mstaafu wa Magereza naye amealikwa.

..Mwanguku ni wa zamani labda aliondoka Magereza kabla hata Mzee Mwinyi hajaingia madarakani. Sina uhakika lakini.

..Pia sina uhakika kama alistaafu mwenyewe au kuna mtikisiko ulitokea akalazimika kujiuzulu. Naomba unikumbushe kuhusu suala hili.

NB.

..IGP Philemon Mgaya, Gen.David Musuguri, Gen.Marwa Waitara, na Col.Hassy Kitine,.ndiyo wastaafu ambao hawakuhudhuria.

..Inawezekana wanasumbuliwa na matatizo ya utu uzima.

Cc Pascal Mayalla
Mkuu Joka Kuu, kuna majina hapaumeyataja,umenirudisha primary, nilikuwa class moja na mtoto wa Mwanguku, akiitwa Ipyana (Rip), Frora Twalipo akiwa one class ahead. Kijana wa Mgaya, Eric (Rip) ni jirani!.

Naasume ni mambo ya utu uzima!.

Paskali
 
..nilimuona Mzee Mwanguku mstaafu wa Magereza naye amealikwa.

..Mwanguku ni wa zamani labda aliondoka Magereza kabla hata Mzee Mwinyi hajaingia madarakani. Sina uhakika lakini.

..Pia sina uhakika kama alistaafu mwenyewe au kuna mtikisiko ulitokea akalazimika kujiuzulu. Naomba unikumbushe kuhusu suala hili.

NB.

..IGP Philemon Mgaya, Gen.David Musuguri, Gen.Marwa Waitara, na Col.Hassy Kitine,.ndiyo wastaafu ambao hawakuhudhuria.

..Inawezekana wanasumbuliwa na matatizo ya utu uzima.

Cc Pascal Mayalla
Mkuu Joka Kuu, kuna majina hapaumeyataja,umenirudisha primary, nilikuwa class moja na mtoto wa Mwanguku, akiitwa Ipyana (Rip), Frora Twalipo akiwa one class ahead. Kijana wa Mgaya, Eric (Rip) ni jirani!.

Naasume ni mambo ya utu uzima!.

Paskali
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
kwanza tujuze na wewe barua ya mwaliko uliziona au ili tujue wapi pa kuanzia
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
Mzee Samweli Pundugu je,! nae ulimwona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Mahiga ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Wewe hili file muda wa declassification bado
 
Back
Top Bottom