Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,890
Huwa napitagagapitaga kwenye app ya jiji kuangalia mijengo. Bei ya mijengo ni kubwa inatisha sana. Hasa Dar na Arusha. Nini kinasababisha hivi? Ni uhaba wa nyumba, uhaba wa maeneo mazuri au ukosefu wa usalama kwa baadhi ya maeneo? Mikocheni na Masaki ndiyo wanaongoza kwa gharama. Unakuta nyumba ya ajabu inauzwa bilioni kadhaa. Ukiangalia quality, na nyumba kama hiyo ya South au US unakuta imeachwa mbali kabisa. Mbaya zaidi unakuta kakiwanja kauongo.
Nini kinasababisha nyumba kuwa gharama hivyo, au ni kawaida?
Cheki hii nyumba ipo Sharif Shamba. Ukumbwa mita sq 200. Wanauza 200m?
Nini kinasababisha nyumba kuwa gharama hivyo, au ni kawaida?
Cheki hii nyumba ipo Sharif Shamba. Ukumbwa mita sq 200. Wanauza 200m?