Serikali imetumia Trilioni 3 Kununua Ndege 13 Badala ya Kujenga km 3,000 za Lami.Je Tanzania tumenyimwa akili au Tumerogwa?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,060
49,744
Serikali ya Tanzania ya awamu ya 5 & 6 zimetunia zaidi ya Shilingi Trilioni 3 Kununua Ndege 13 ambazo mara zikamatwe mara zigaribike hovyo mara zipaki bila matumizi nk Kwa Ajili ya Shirika la ATCL.

Inasikitisha sana aina ya akili walizonazo viongozi wa Tanzania Kwenye kupima na kulinganisha matokeo ya maamuzi Yao na athari zake kwenye uchumi na maisha ya mtu mmja mmja.

Ukiacha mambo ya proudness hakuna kingine chochote hizo ndege zimezalisha Kwa Taifa zaidi ya hasara.Ukiacha kwamba zimenunuliwa Kwa gharama kubwa(Zaidi ya Dola bil.1.348) lakini zinaendeshwa Kwa hasara yaani tunakusanya Kodi na kwenda kuhudumia ndege.

Najiuliza hivi kulikuwa na haja gani au ulazima upi wa kununua ndege hizo Kwa pupa ikiwa hazileti faida? Kwa nini Huwa Hatuwezi kulinganisha uwekezaji Kwa kuangalia matokeo?

Kama Serikali ingeachana na ndege tusingekuwa na Shirika la Ndege sawa Je tungepata hasara gani kama Taifa? Mana kupanga ni kuchagua Sasa unapochagua hasara hii inakuaje?

Kama Kwa miaka 7 Serikali ingesema sinunui ndege badala yake naweka kipaombele kwenye Barabara,ndio kusema zaidi ya km 3,000 za lami zingekuwa zimejngwa Nchi nzima.Km 3,000 unazungumzia Mikoa yote kuunganishwa,Nchi na Nchi Kwa lami na Wilaya kwa.wilaya Kwa lami.

Matokeo ya uwekezaji kwenye Barabara yangeleta maendelea ya haraka Kwa mtu mmja mmja na Kwa Taifa badala ya hasara.Ni vyema viongozi wajifunze kufikiria kabla ya kufanya maamuzi.

Binafsi sio tuu ndege Bali hata Sgr nilipinga sana wakati ule na Hadi kesho napinga Kwa sababu sio miradi ambayo italeta Tika badala yake italeta hasara.Kama Mwendokasi inaleta hasara unategemea Sgr na ndege zilete faida?

Kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kukimbilia miradi ambayo haikuzi uchumi haraka badala yake inahitaji uchumi ukue ndio ije kuongeza Nguvu,so tungeanza na Barabara zikishachiousha uzalishaji ndio tunakuja Sasa kwenye reli na ndege Ili zije kubeba kilicho tayari hapo walau kunakuwa na Tija badala ya kutafuta sifa za kijinga huku unazidi kuwa maskini.

Inasikitisha sana ila ndio basi tena Nchi hii Ina watu wengi walionyimwa akili ndio maana mkulima aliyehoi Kwa umaskini anashangilia ndege 😁😁.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1744432821014343902?t=gPQdRyoLiteKMVe1H3rUyA&s=19
 
Uwekezaji huo huwa unaleta fedha kibao kwa njia nyingine. Huwezi kumleta mtalii ashuke Nairobi halafu achukue Landcruiser hadi Morogoro Mikumi. Usafiri wa ndege ni huduma inayo facilitate investments zingine. Acheni ujinga Jengeni ofisi UFIPA bure kabisa walamba asali
Ujinga kama huu kamwambie mkeo.Utalii upi umeletwa na ndege zenu? Watalii wa Sasa wanatoka USA,Italy,Uingereza ,ndege zenu Zinaenda huko?

China zinakoenda haipo kwenye rekodi ya Nchi zinazotoa watalii wengi.

Usilete utetezi wa kipumbavu.Watalii wamejaa hapo Tunisia umekuta ni Shirika lao la Ndege linawaleta?
 
Serikali ya Tanzania ya awamu ya 5 & 6 zimetunia zaidi ya Shilingi Trilioni 3 Kununua Ndege 13 ambazo mara zikamatwe mara zigaribike hovyo mara zipaki bila matumizi nk Kwa Ajili ya Shirika la ATCL.

Inasikitisha sana aina ya akili walizonazo viongozi wa Tanzania Kwenye kupima na kulinganisha matokeo ya maamuzi Yao na athari zake kwenye uchumi na maisha ya mtu mmja mmja.

Ukiacha mambo ya proudness hakuna kingine chochote hizo ndege zimezalisha Kwa Taifa zaidi ya hasara.Ukiacha kwamba zimenunuliwa Kwa gharama kubwa(Zaidi ya Dola bil.1.348) lakini zinaendeshwa Kwa hasara yaani tunakusanya Kodi na kwenda kuhudumia ndege.

Najiuliza hivi kulikuwa na haja gani au ulazima upi wa kununua ndege hizo Kwa pupa ikiwa hazileti faida? Kwa nini Huwa Hatuwezi kulinganisha uwekezaji Kwa kuangalia matokeo?

Kama Serikali ingeachana na ndege tusingekuwa na Shirika la Ndege sawa Je tungepata hasara gani kama Taifa? Mana kupanga ni kuchagua Sasa unapochagua hasara hii inakuaje?

Kama Kwa miaka 7 Serikali ingesema sinunui ndege badala yake naweka kipaombele kwenye Barabara,ndio kusema zaidi ya km 3,000 za lami zingekuwa zimejngwa Nchi nzima.Km 3,000 unazungumzia Mikoa yote kuunganishwa,Nchi na Nchi Kwa lami na Wilaya kwa.wilaya Kwa lami.

Matokeo ya uwekezaji kwenye Barabara yangeleta maendelea ya haraka Kwa mtu mmja mmja na Kwa Taifa badala ya hasara.Ni vyema viongozi wajifunze kufikiria kabla ya kufanya maamuzi.

Binafsi sio tuu ndege Bali hata Sgr nilipinga sana wakati ule na Hadi kesho napinga Kwa sababu sio miradi ambayo italeta Tika badala yake italeta hasara.Kama Mwendokasi inaleta hasara unategemea Sgr na ndege zilete faida?

Kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kukimbilia miradi ambayo haikuzi uchumi haraka badala yake inahitaji uchumi ukue ndio ije kuongeza Nguvu,so tungeanza na Barabara zikishachiousha uzalishaji ndio tunakuja Sasa kwenye reli na ndege Ili zije kubeba kilicho tayari hapo walau kunakuwa na Tija badala ya kutafuta sifa za kijinga huku unazidi kuwa maskini.

Inasikitisha sana ila ndio basi tena Nchi hii Ina watu wengi walionyimwa akili ndio maana mkulima aliyehoi Kwa umaskini anashangilia ndege 😁😁.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1744432821014343902?t=gPQdRyoLiteKMVe1H3rUyA&s=19

Mkuu naunga mkono hoja, hakika umeleta hoja nzuri sana. Kimsingi huu ulikuwa na bado ni uchochoro wa upigaji!

Shida yetu kubwa kama taifa ni kupata viongozi sahihi na uwezo wa wananchi kuwawajibisha hao viongozi pamoja na usahihi wao!
 
Serikali ya Tanzania ya awamu ya 5 & 6 zimetunia zaidi ya Shilingi Trilioni 3 Kununua Ndege 13 ambazo mara zikamatwe mara zigaribike hovyo mara zipaki bila matumizi nk Kwa Ajili ya Shirika la ATCL.

Inasikitisha sana aina ya akili walizonazo viongozi wa Tanzania Kwenye kupima na kulinganisha matokeo ya maamuzi Yao na athari zake kwenye uchumi na maisha ya mtu mmja mmja.

Ukiacha mambo ya proudness hakuna kingine chochote hizo ndege zimezalisha Kwa Taifa zaidi ya hasara.Ukiacha kwamba zimenunuliwa Kwa gharama kubwa(Zaidi ya Dola bil.1.348) lakini zinaendeshwa Kwa hasara yaani tunakusanya Kodi na kwenda kuhudumia ndege.

Najiuliza hivi kulikuwa na haja gani au ulazima upi wa kununua ndege hizo Kwa pupa ikiwa hazileti faida? Kwa nini Huwa Hatuwezi kulinganisha uwekezaji Kwa kuangalia matokeo?

Kama Serikali ingeachana na ndege tusingekuwa na Shirika la Ndege sawa Je tungepata hasara gani kama Taifa? Mana kupanga ni kuchagua Sasa unapochagua hasara hii inakuaje?

Kama Kwa miaka 7 Serikali ingesema sinunui ndege badala yake naweka kipaombele kwenye Barabara,ndio kusema zaidi ya km 3,000 za lami zingekuwa zimejngwa Nchi nzima.Km 3,000 unazungumzia Mikoa yote kuunganishwa,Nchi na Nchi Kwa lami na Wilaya kwa.wilaya Kwa lami.

Matokeo ya uwekezaji kwenye Barabara yangeleta maendelea ya haraka Kwa mtu mmja mmja na Kwa Taifa badala ya hasara.Ni vyema viongozi wajifunze kufikiria kabla ya kufanya maamuzi.

Binafsi sio tuu ndege Bali hata Sgr nilipinga sana wakati ule na Hadi kesho napinga Kwa sababu sio miradi ambayo italeta Tika badala yake italeta hasara.Kama Mwendokasi inaleta hasara unategemea Sgr na ndege zilete faida?

Kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kukimbilia miradi ambayo haikuzi uchumi haraka badala yake inahitaji uchumi ukue ndio ije kuongeza Nguvu,so tungeanza na Barabara zikishachiousha uzalishaji ndio tunakuja Sasa kwenye reli na ndege Ili zije kubeba kilicho tayari hapo walau kunakuwa na Tija badala ya kutafuta sifa za kijinga huku unazidi kuwa maskini.

Inasikitisha sana ila ndio basi tena Nchi hii Ina watu wengi walionyimwa akili ndio maana mkulima aliyehoi Kwa umaskini anashangilia ndege 😁😁.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1744432821014343902?t=gPQdRyoLiteKMVe1H3rUyA&s=19

wewe ni mjinga tu kama wajinga wengine uliye na chuki na JPm na chuki hii dhidi yake itakutesa Sana Jk wakati akiwepo aliacha ndege 2 za kukodi tu yaani nchi kama Tanzania haikuwa na ndege hata moja yaaani nchi yenye watu 60+ million yenye vivutio vya utalii kibao haina hata ndege moja lakini kwa ujinga wako unauliza swali ambalo ukijua jibu lake ndege ama kuwa na shirika imara la ndege kunatengeneza National identity yaani kuitambulisha nchi kimataifa kunaimarisha maisha ya ndani kiutalii na kunaongeza fedha za kigeni na hii ni process serikali ya majizi ya awamu ya 6 inazitumbulia macho mapapa yanataka yazitafune kama haujui umuhimu wa ndege yaweza kuwa wewe ni masikini na Kahuku usiyejitambua na nakuhakikishia mjinga wewe aliyoyafanya Magufuli kwa miaka6 mpaka Samia anataka atakuwa amefanya ht 1% haitafika ya yale aliyofanya Magufuli
 
wewe ni mjinga tu kama wajinga wengine uliye na chuki na JPm na chuki hii dhidi yake itakutesa Sana Jk wakati akiwepo aliacha ndege 2 za kukodi tu yaani nchi kama Tanzania haikuwa na ndege hata moja yaaani nchi yenye watu 60+ million yenye vivutio vya utalii kibao haina hata ndege moja lakini kwa ujinga wako unauliza swali ambalo ukijua jibu lake ndege ama kuwa na shirika imara la ndege kunatengeneza National identity yaani kuitambulisha nchi kimataifa kunaimarisha maisha ya ndani kiutalii na kunaongeza fedha za kigeni na hii ni process serikali ya majizi ya awamu ya 6 inazitumbulia macho mapapa yanataka yazitafune kama haujui umuhimu wa ndege yaweza kuwa wewe ni masikini na Kahuku usiyejitambua na nakuhakikishia mjinga wewe aliyoyafanya Magufuli kwa miaka6 mpaka Samia anataka atakuwa amefanya ht 1% haitafika ya yale aliyofanya Magufuli
Jikite kwenye hoja usilete upumbavu wako hapa.

Unanunua ndege 13 Kwa Trilioni 3 una akili timamu au umejaa mavi kichwani?

Yet unatumia Kodi Kuendesha hayo mapipa ya kisengerema, pumbavu sana.

Kimsingi mtu wako alitakiwa kupigwa risasi na kuchomwa hadharani.Ameleta hasara kubwa sana kwenye Nchi hii.
 
wewe ni mjinga tu kama wajinga wengine uliye na chuki na JPm na chuki hii dhidi yake itakutesa Sana Jk wakati akiwepo aliacha ndege 2 za kukodi tu yaani nchi kama Tanzania haikuwa na ndege hata moja yaaani nchi yenye watu 60+ million yenye vivutio vya utalii kibao haina hata ndege moja lakini kwa ujinga wako unauliza swali ambalo ukijua jibu lake ndege ama kuwa na shirika imara la ndege kunatengeneza National identity yaani kuitambulisha nchi kimataifa kunaimarisha maisha ya ndani kiutalii na kunaongeza fedha za kigeni na hii ni process serikali ya majizi ya awamu ya 6 inazitumbulia macho mapapa yanataka yazitafune kama haujui umuhimu wa ndege yaweza kuwa wewe ni masikini na Kahuku usiyejitambua na nakuhakikishia mjinga wewe aliyoyafanya Magufuli kwa miaka6 mpaka Samia anataka atakuwa amefanya ht 1% haitafika ya yale aliyofanya Magufuli
Mkuu mleta mada hakuna mahali ametaja awamu ya 5 wala ya sita au ya nne.

Hoja yake imejikita kwenye faida na hasara ya uwekezaji unaofanyika kwenye ndege, reli na mwendokasi dhidi ya barabara!

Naona umekuwa sensitive na defensive licha ya hasara kubwa inayoendelea kupatikana.

Kimsingi barabara ndizo zinazogusa na kunufaisha kila mwananchi na kuinua uchumi wao! Ndege inanufaisha moja kwa moja asilimia ndogo hata asilimia 1% ya idadi ya watanzania milioni 60 uliyotaja haifiki.

Vyote ni muhimu ila kipaumbele kiwe barabara halafu baadaye tukiwa vizuri ndio tuwekeze kwenye anga bila kutengeneza hasara.

Msingi Mkuu na tija ya ndege ni wasafiri wa ndani, tuimarishe uchumi wa wananchi wetu kwanza ili wawe na uwezo wa kutumia usafiri wa ndege tukiongezea na wasafiri kutoka nje tutaondoa hasara!
 
Serikali ya Tanzania ya awamu ya 5 & 6 zimetunia zaidi ya Shilingi Trilioni 3 Kununua Ndege 13 ambazo mara zikamatwe mara zigaribike hovyo mara zipaki bila matumizi nk Kwa Ajili ya Shirika la ATCL.

Inasikitisha sana aina ya akili walizonazo viongozi wa Tanzania Kwenye kupima na kulinganisha matokeo ya maamuzi Yao na athari zake kwenye uchumi na maisha ya mtu mmja mmja.

Ukiacha mambo ya proudness hakuna kingine chochote hizo ndege zimezalisha Kwa Taifa zaidi ya hasara.Ukiacha kwamba zimenunuliwa Kwa gharama kubwa(Zaidi ya Dola bil.1.348) lakini zinaendeshwa Kwa hasara yaani tunakusanya Kodi na kwenda kuhudumia ndege.

Najiuliza hivi kulikuwa na haja gani au ulazima upi wa kununua ndege hizo Kwa pupa ikiwa hazileti faida? Kwa nini Huwa Hatuwezi kulinganisha uwekezaji Kwa kuangalia matokeo?

Kama Serikali ingeachana na ndege tusingekuwa na Shirika la Ndege sawa Je tungepata hasara gani kama Taifa? Mana kupanga ni kuchagua Sasa unapochagua hasara hii inakuaje?

Kama Kwa miaka 7 Serikali ingesema sinunui ndege badala yake naweka kipaombele kwenye Barabara,ndio kusema zaidi ya km 3,000 za lami zingekuwa zimejngwa Nchi nzima.Km 3,000 unazungumzia Mikoa yote kuunganishwa,Nchi na Nchi Kwa lami na Wilaya kwa.wilaya Kwa lami.

Matokeo ya uwekezaji kwenye Barabara yangeleta maendelea ya haraka Kwa mtu mmja mmja na Kwa Taifa badala ya hasara.Ni vyema viongozi wajifunze kufikiria kabla ya kufanya maamuzi.

Binafsi sio tuu ndege Bali hata Sgr nilipinga sana wakati ule na Hadi kesho napinga Kwa sababu sio miradi ambayo italeta Tika badala yake italeta hasara.Kama Mwendokasi inaleta hasara unategemea Sgr na ndege zilete faida?

Kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kukimbilia miradi ambayo haikuzi uchumi haraka badala yake inahitaji uchumi ukue ndio ije kuongeza Nguvu,so tungeanza na Barabara zikishachiousha uzalishaji ndio tunakuja Sasa kwenye reli na ndege Ili zije kubeba kilicho tayari hapo walau kunakuwa na Tija badala ya kutafuta sifa za kijinga huku unazidi kuwa maskini.

Inasikitisha sana ila ndio basi tena Nchi hii Ina watu wengi walionyimwa akili ndio maana mkulima aliyehoi Kwa umaskini anashangilia ndege 😁😁.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1744432821014343902?t=gPQdRyoLiteKMVe1H3rUyA&s=19

Magufuli unasimangwa huku na chawa mmoja
 
Serikali ya Tanzania ya awamu ya 5 & 6 zimetunia zaidi ya Shilingi Trilioni 3 Kununua Ndege 13 ambazo mara zikamatwe mara zigaribike hovyo mara zipaki bila matumizi nk Kwa Ajili ya Shirika la ATCL.

Inasikitisha sana aina ya akili walizonazo viongozi wa Tanzania Kwenye kupima na kulinganisha matokeo ya maamuzi Yao na athari zake kwenye uchumi na maisha ya mtu mmja mmja.

Ukiacha mambo ya proudness hakuna kingine chochote hizo ndege zimezalisha Kwa Taifa zaidi ya hasara.Ukiacha kwamba zimenunuliwa Kwa gharama kubwa(Zaidi ya Dola bil.1.348) lakini zinaendeshwa Kwa hasara yaani tunakusanya Kodi na kwenda kuhudumia ndege.

Najiuliza hivi kulikuwa na haja gani au ulazima upi wa kununua ndege hizo Kwa pupa ikiwa hazileti faida? Kwa nini Huwa Hatuwezi kulinganisha uwekezaji Kwa kuangalia matokeo?

Kama Serikali ingeachana na ndege tusingekuwa na Shirika la Ndege sawa Je tungepata hasara gani kama Taifa? Mana kupanga ni kuchagua Sasa unapochagua hasara hii inakuaje?

Kama Kwa miaka 7 Serikali ingesema sinunui ndege badala yake naweka kipaombele kwenye Barabara,ndio kusema zaidi ya km 3,000 za lami zingekuwa zimejngwa Nchi nzima.Km 3,000 unazungumzia Mikoa yote kuunganishwa,Nchi na Nchi Kwa lami na Wilaya kwa.wilaya Kwa lami.

Matokeo ya uwekezaji kwenye Barabara yangeleta maendelea ya haraka Kwa mtu mmja mmja na Kwa Taifa badala ya hasara.Ni vyema viongozi wajifunze kufikiria kabla ya kufanya maamuzi.

Binafsi sio tuu ndege Bali hata Sgr nilipinga sana wakati ule na Hadi kesho napinga Kwa sababu sio miradi ambayo italeta Tika badala yake italeta hasara.Kama Mwendokasi inaleta hasara unategemea Sgr na ndege zilete faida?

Kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kukimbilia miradi ambayo haikuzi uchumi haraka badala yake inahitaji uchumi ukue ndio ije kuongeza Nguvu,so tungeanza na Barabara zikishachiousha uzalishaji ndio tunakuja Sasa kwenye reli na ndege Ili zije kubeba kilicho tayari hapo walau kunakuwa na Tija badala ya kutafuta sifa za kijinga huku unazidi kuwa maskini.

Inasikitisha sana ila ndio basi tena Nchi hii Ina watu wengi walionyimwa akili ndio maana mkulima aliyehoi Kwa umaskini anashangilia ndege 😁😁.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1744432821014343902?t=gPQdRyoLiteKMVe1H3rUyA&s=19

Serikali ya mama anaupiga mwingi mwambie aziuze atengeneze barabara kuna mwimbo mmoja unasema chuki ni donda la rohoni!
 
Serikali ya mama anaupiga mwingi mwambie aziuze atengeneze barabara kuna mwimbo mmoja unasema chuki ni donda la rohoni!
Ni sehemu ya blunder za Magumashi Magu hawezi fanya hivyo.

Ningekuwa Mimi ndio Rais ningezipiga mnada hata nikipata nusu ya pesa hizo zinatosha Kujenga walau km 2*000 watu watanishukuru na Uchumi utapata.
 
Ujinga kama huu kamwambie mkeo.Utalii upi umeletwa na ndege zenu? Watalii wa Sasa wanatoka USA,Italy,Uingereza ,ndege zenu Zinaenda huko?

China zinakoenda haipo kwenye rekodi ya Nchi zinazotoa watalii wengi.

Usilete utetezi wa kipumbavu.Watalii wamejaa hapo Tunisia umekuta ni Shirika lao la Ndege linawaleta?
Sasa mkewe hapa anahusika vipi? Tatizo ni ndege?
Sidhani. Kosa si kununua ndege, nadhani ungeobgelea uendeshaji wake,waliozinunua si wajinga kihivyo. Kama kungekuwepo na usimamizi mzuri, sidhani kama leo ungekuja na malalamiko.
Na issue ya ndege siyo tu yenye mapungufu,ungeorodesha. Lakini pia,kila mtu ana maoni yake,na sidhani kama yanaweza kufanyiwa kazi kwa matakwa ya kila mtu. Poleni
 
Back
Top Bottom