Mbaya wenu karudi

Mbaya wenu karudi

Kwa hiyo ni mimi tu ambaye sijawahi kuwa katika A 'list ya wana Jf maarufu
🤨🤨..

Yote kwa yote, tafuta watu wakupende mkuu maana obsession ya kutaka kuonekana na kukubalika kwa strangers. Si dalili nzuri
That's what I got when I was outside jf... Reconnecting with family and friends
 
Kuwa na id's nyingi na kubadili badili jina ni dalili ya kutojiamini, seeking validation in jf? 🤕
Ni kweli ila nia yangu kwa ID nyingine ilikuwa ni kufanya vitu vya ajabu na haikuwezekana maana ile mask yangu haiku fanya kazi
 
Wewe ndiye unafanya utoto
Kwanini usigombane na mtu kwa id yako moja?
Unang'ata huku unapuliza
Unaita watu maskini huku wewe unanuka pumba
Daah umeona uniamkie asubuhi hii yote😂

Nimesha acha hayo maisha.
 
Sijui hata nikujibu vipi, you have delusional disorder mkuu. Nazidi kupata majibu, una shida!
Daah kwani life la humu ni real!
Au tuanzie hapo kwenye namna ile tag ilipoanzia... It was all for fun.

Mzee kuna watu humu wanaishi kutafta recognition za kijinga. If you believe them, it's you who becomes delusional.
 
Eeh kumbe ulini tag , ushauri wangu ishi maisha yako , ukiwa natabia za kujishtukia shtukia kila mtu atakufanya shamba la bibi , kiufupi ulishasahulika humu ni wewe unajishtukia tu bwashee
 
Wewe mleta uzi tunakuomba utueleze kwa nini ulipewa ban ili tujifunze wengne huku. Mimi najua hapo ni kama you were under probation na sio kuhukumiwa miaka kadhaa. Sa ningeomba uwe balozi wa kuhubiri on what to do ili tuepukane na bans. Lakin kwa style uliyokuja nayo bro ati ya mbaya wetu hapo sio fresh au ulikuwa na mabifu na watu humu ndani ndo wakakufitini ukapewa ban? Nakumbuka ban ilivyopita kuna watu walichambuliwa kuwa it was right to be banned but you were not among them. Vipi chanzo cha kupata ni nini kiongozi?
 
Kulitokea nini nimemis umbea...😄😄
Nawee ulipitwaa km mie? Woiiiih 😂😂😂
I’d yako ya kike vipi sasa tuwaambie mod nayo waiunge? Tatizo unapenda kujipa umuhimu na ujuaji.

Wewe role model wa nani 😹
Wajinga hawaishi..!!
Uduguu naomba nishushie hili PDF km lilivyo, najua lazima uliweka kwa ajiri yangu.
Fanyaa kuniwekeaa km ulivyooo.
Alooooh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom