Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 5,085
- 9,319
🤗Moderator waliunga tu proxies zake ila ID yake kuu wameiacha.
🤗Moderator waliunga tu proxies zake ila ID yake kuu wameiacha.
Umuhimu wa kumiliki id za kike na kiume? 😹Nilijua tu lazima likutoke winga wewe😂
Kujipa umuhimu ndo kitu napenda maishani. Nani atanipa kama sio mimi mwenyewe.
Haya niambie shikamoo dada.😂Hivi kweli kabisa unadhani umenipiga gape la miaka mingap? Ukienda sana mi3 tu which of course we're age mates wazuri tu.
Si kuweka jina wewe na nongwa zako nilisha kwambia acha uwinga utazeeka vibaya..Umuhimu wa kumiliki id za kike na kiume? 😹
Sasa ukitongozwa piem unajibuje?
Nyie ndio mnaoomba afu tatu wanaume wenzenu afu makasiriko tunaletewa wanawake huku jukwaani…!!
TUTAKUFATLIASi kuweka jina wewe na nongwa zako nilisha kwambia acha uwinga utazeeka vibaya..
11 is my life path number. In astrology na ndo nilivyo iweka kama ID name.
Oohoo kama kweli vile
Oohoo kama kweli vile
pamekuaje ndugu au na wewe hukupewa zako while he was away?
Gadeim 😁