Mbaya wenu karudi

Mbaya wenu karudi

Mzee hao ni maadui wanapenda uchonganishi Kamwe Usi pay attention kwao na nia yao huwa wanapenda kufanya intelligent minds kuonekana illiterate kwa kumzushia vitu vya ajabu.
Pole sana bwana mzee, ishi tu usitumie nguvu sana kupata attention kwa watu.. najua mangosha huwa washamba sana(samahani lakini)
 
Kwa hiyo ni mimi tu ambaye sijawahi kuwa katika A 'list ya wana Jf maarufu
🤨🤨..

Yote kwa yote, tafuta watu wakupende mkuu maana obsession ya kutaka kuonekana na kukubalika kwa strangers. Si dalili nzuri
 
Pole sana bwana mzee, ishi tu usitumie nguvu sana kupata attention kwa watu.. najua mangosha huwa washamba sana(samahani lakini)
Mimi ni ngosha mjanja
Ni ngosha mtaalamu, ni ngosha genius, ni ngosha mwenye kufwatiliwa na jf nzima😂

Sasa hivi kuna namna nzuri ya ku deal na hawa viumbe, ni kuwa weka kwenye trash tu.
 
Wewe ni mkorofi sana nakujua De Gunner.....
Mm nilipumzika tuu nilikua nanyonyesha kichanga..
Ahaaa I never could've guessed that.
Mimi sio mkorofi mimi ni mwongea ukweli na wengi hawapendi.
 
Sawa kuwa millennials hakufanyi usiwe mdogo wangu 🤣

Utulie basi, mi mbona sijawahi kupigwa ban tangu nijiunge JF.
Hivi kweli kabisa unadhani umenipiga gape la miaka mingap? Ukienda sana mi3 tu which of course we're age mates wazuri tu.

Hauwezi kupigwa ban because you're emotional mature than most of us
 
I’d yako ya kike vipi sasa tuwaambie mod nayo waiunge? Tatizo unapenda kujipa umuhimu na ujuaji.

Wewe role model wa nani 😹
Wajinga hawaishi..!!
Nilijua tu lazima likutoke winga wewe😂

Kujipa umuhimu ndo kitu napenda maishani. Nani atanipa kama sio mimi mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom