Mbaya wenu karudi

Mbaya wenu karudi

Umuhimu wa kumiliki id za kike na kiume? 😹

Sasa ukitongozwa piem unajibuje?
Nyie ndio mnaoomba afu tatu wanaume wenzenu afu makasiriko tunaletewa wanawake huku jukwaani…!!
😂😂😂 khaaah
 
Eeh kumbe ulini tag , ushauri wangu ishi maisha yako , ukiwa natabia za kujishtukia shtukia kila mtu atakufanya shamba la bibi , kiufupi ulishasahulika humu ni wewe unajishtukia tu bwashee
Bwashee lazima ulinde reputation si unajua tena.

Wanasemaga "your life is the message" maneno ya Gandhi mwenyewe.
 
Wewe mleta uzi tunakuomba utueleze kwa nini ulipewa ban ili tujifunze wengne huku. Mimi najua hapo ni kama you were under probation na sio kuhukumiwa miaka kadhaa. Sa ningeomba uwe balozi wa kuhubiri on what to do ili tuepukane na bans. Lakin kwa style uliyokuja nayo bro ati ya mbaya wetu hapo sio fresh au ulikuwa na mabifu na watu humu ndani ndo wakakufitini ukapewa ban? Nakumbuka ban ilivyopita kuna watu walichambuliwa kuwa it was right to be banned but you were not among them. Vipi chanzo cha kupata ni nini kiongozi?
Actually, ni stori ndefu sana. Ila Inshort ni kuwa kuna kila aina ya kiumbe humu. Kuna watu na agenda zao. Nimeelezea pale ya kuwa you need to find people whom you can vibe with, wengi humu ssi watu wema ukikaa vibaya wanaweza kuku trigger na kukusababishia ban.
 
Hakika ,bwashee maisha ni ujumbe, ila ujumbe mzuri nao huwa na sura mpya kila ukurasa, usibaki kusoma chapter ya zamani tu.
Yah ni kweli ila pia Steve Jobs alisema
"Though we live in the present, life's meaning is learned by looking backwards"
There's power in that too.
 
Actually, ni stori ndefu sana. Ila Inshort ni kuwa kuna kila aina ya kiumbe humu. Kuna watu na agenda zao. Nimeelezea pale ya kuwa you need to find people whom you can vibe with, wengi humu ssi watu wema ukikaa vibaya wanaweza kuku trigger na kukusababishia ban.
na ndio maana naambia watu kila leo kuwa sio kila uzi n kujibu, yaan unakuta mtu kaandika uzi mwingne anakuja na matusi ni kama kalengwa yeye. Anyway pole na imekuwa vizuri kama umejua tatizo liko wapi hapo tayari wewe ni mshindi. Vipi huko banned zone mlikuwa mnapewa vinywaji mkuu.
 
Yah ni kweli ila pia Steve Jobs alisema
"Though we live in the present, life's meaning is learned by looking backwards"
There's power in that too.
Kweli kabisa bwashee 😂, ila ukiangalia nyuma sana unaweza kukutana na jana ikikuuliza "mbona bado hujaendelea?"
 
na ndio maana naambia watu kila leo kuwa sio kila uzi n kujibu, yaan unakuta mtu kaandika uzi mwingne anakuja na matusi ni kama kalengwa yeye. Anyway pole na imekuwa vizuri kama umejua tatizo liko wapi hapo tayari wewe ni mshindi. Vipi huko banned zone mlikuwa mnapewa vinywaji mkuu.
Yah inabidi usi react sana hasa unapojua motives za mtu husika.
Inabidi uwe na filter kujua kipi cha kujibu

Banned zone tulikuwa wapenzi watizamaji tu hakuna faida yeyote
 
Kweli kabisa bwashee 😂, ila ukiangalia nyuma sana unaweza kukutana na jana ikikuuliza "mbona bado hujaendelea?"
But ukweli ni kuwa ego=mind=past=time so hauwezi kuwa separable na either past or future imaginations.
 
Yah inabidi usi react sana hasa unapojua motives za mtu husika.
Inabidi uwe na filter kujua kipi cha kujibu

Banned zone tulikuwa wapenzi watizamaji tu hakuna faida yeyote
poa boss ila nna ombi moja tu. Ebu tag mods wakueleze on how to change your name coz hilo jina linakaa la kike kike na kimtazamo wewe ni gent. Pambana u change da name da babilon rastas
 
Mlongo I miss you😍

Huyu aliunganishiwa 🆔 alikuwa nazo sijui nne🤣🤣🤣

Moja anajitukana nyingine anajishtaki🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
ID nne??? 😂

Hakika wewe ni mmoja wa haters wakubwa sanaa🤣

Huo ni ubuyu pro max.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom