Mbaya wenu karudi

Mbaya wenu karudi

😹😹😹😹 Huyo de gunner ana id mpk za kike na ile ya pawa mabula ni yake..!!

Katolewa ban id zake hizi mbili zilizoungwa bado zingine zina ban..!!

Mimi nilikuwa nao kwenye uzi mmoja hivi adriz de mbusii alikuwa anawashambulia na kutoa Siri zao zote za umiliki wa id zake mods wakaupitia..!! Nilikuwa busy sikuingia JF narudi nakuta ban zimetembea km njugu mpaka Adriz naye kapitiwa 😹😹😹
Huyo mabula ndo nani?
 
Nawee ulipitwaa km mie? Woiiiih 😂😂😂
Uduguu naomba nishushie hili PDF km lilivyo, najua lazima uliweka kwa ajiri yangu.
Fanyaa kuniwekeaa km ulivyooo.
Alooooh
PDF tayari udugu mie teeena hii ndio sekta yangu pendwa risiti lazima nikutunzie..!! 😹😹😹

JF ni kichaka chenye wanyama wakali 😹
 
PDF tayari udugu mie teeena hii ndio sekta yangu pendwa risiti lazima nikutunzie..!! 😹😹😹

JF ni kichaka chenye wanyama wakali 😹
Eti mnyama mkali!
 
PDF tayari udugu mie teeena hii ndio sekta yangu pendwa risiti lazima nikutunzie..!! 😹😹😹

JF ni kichaka chenye wanyama wakali 😹
Mbona hatariii uduguu, JF ni pori, sio kichaka tena, Aloo.
😂😂😂
 
😂😂😂 mie nilipitwaa, napokea risiti za masijala,
Tulia kwani bas.
Hebu nipasie nihakikishe ziko sawa...
Maana huyo anaye kurushia ni winga mjanja mjanja tu hachelewi kubadilisha tarehe na content
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom