cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,335
- 188,020
😂😂😂 kwani unaogopaa?Hebu nipasie nihakikishe ziko sawa...
Maana huyo anaye kurushia ni winga mjanja mjanja tu hachelewi kubadilisha tarehe na content
😂😂😂 kwani unaogopaa?Hebu nipasie nihakikishe ziko sawa...
Maana huyo anaye kurushia ni winga mjanja mjanja tu hachelewi kubadilisha tarehe na content
Shindii sio vizuri🤣🤣🤣Eeh kumbe ulini tag , ushauri wangu ishi maisha yako , ukiwa natabia za kujishtukia shtukia kila mtu atakufanya shamba la bibi , kiufupi ulishasahulika humu ni wewe unajishtukia tu bwashee
Umeamua kujitekenya sio?Aisee nikikumbuka kimbembe cha huyu jamaa nacchekaaa
Kwamba Mzigua_255 ni mimi?Umeamua kujitekenya sio?
Kwa nini shindii?Shindii sio vizuri🤣🤣🤣
Ndio hivyo uduguu 😹😹Kheeeh, kumbe ndo ilivyokua?
😂😂😂 mabwakuuu? Woiiiih
Amazon unaweza kung’atwa na mijoka aloo! 😹😹Mbona hatariii uduguu, JF ni pori, sio kichaka tena, Aloo.
😂😂😂
De gunner 😹Ndo nani huyo?
Alooo! Wewe unacheza kama fisi unanyata kimya kimya unasikilizia mkono udondoke upite nao..!! 😹Eti mnyama mkali!
Okay pawa mabula msalimie de gunner 😹😹Kwendraa zako huko lala kesho uwahi ukapige debe kariakoo
😂😂😂😂Amazon unaweza kung’atwa na mijoka aloo! 😹😹
HatariiiiNdio hivyo uduguu 😹😹
RabekaVishu