Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 26,255
- 96,619
Labda kwenye kuchambua mchicha.
Loh! Nimecheka!
Labda kwenye kuchambua mchicha.
Kwenye kunotice watu na motives zao. Nikisema jambo nasema ukweli Mchungu ngumu kumeza na watu hawapendi
Tulia hivyo hivyo bwashee, usiwasanueHata huyo seran yupo na anachangia hapa kumlalamikia mleta mada,
Acha niishie hapa.
😂😂Chief ni 100%
Jana nilimwambia hilo na akasalimu amri.
Ukifatilia vizuri maandishi yangu huwa nakuwa na pattern ile ile tu sijawahi kuwa na ID zaidi ya hizi walounganisha
Wewe kwa akili yako wala haihitaji mtu kufuatilia,Ukifatilia vizuri maandishi yangu huwa nakuwa na pattern ile ile tu sijawahi kuwa na ID zaidi ya hizi walounganisha
Sasa hivi kawa mpole,Mbona mwanzo kabla hujawa busted hukusema kwamba wewe na 🔫 ni ID moja?
😃😃Wewe kwa akili yako wala haihitaji mtu kufuatilia,
Unaonekana wazi tu.
Bora hata angekua ni mlevi angesema tu kumradhi ni pombe tuSasa hivi kawa mpole,
Uso umemshuka kama Mbuzi wa hitima.
Sasa hivi kawa mpole,
Uso umemshuka kama Mbuzi wa hitima.
Huyu ID yake moja anajifanya Dakitari,halafu ID yake nyingine anauza majeneza.Navyojua JF haikatazi kuwa na IDs mbili au zaidi (sina uhakika na hili) as long as huvunji sheria kwenye hizo IDs
Sasa huyu Chief Godlove anatumia uhuru wake vibaya ona sasa kaumbuka
Ukweli ni kuwa baada ya kuwa busted nikajua filter is an illusion. Sioni haja tena ya kuwa na ID mbiliNavyojua JF haikatazi kuwa na IDs mbili au zaidi (sina uhakika na hili) as long as huvunji sheria kwenye hizo IDs
Sasa huyu Chief Godlove anatumia uhuru wake vibaya ona sasa kaumbuka
Haikatazi ndioNavyojua JF haikatazi kuwa na IDs mbili au zaidi (sina uhakika na hili) as long as huvunji sheria kwenye hizo IDs
Sasa huyu Chief Godlove anatumia uhuru wake vibaya ona sasa kaumbuka
Basi na sasa hivi usituambie una ID hii na ile tuKwa sababu nilitaka kufanya nilicho fanya.
HahahaUkweli ni kuwa baada ya kuwa busted nikajua filter is an illusion. Sioni haja tena ya kuwa na ID mbili