Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 26,246
- 96,584
Like jinsi navyojua nia ya hawa wote wanaonizushia ID multiples... It's because they're so flabagasted by my return
Loh! Confidence yako inasikitisha
Like jinsi navyojua nia ya hawa wote wanaonizushia ID multiples... It's because they're so flabagasted by my return
Ukweli ni kuwa baada ya kuwa busted nikajua filter is an illusion. Sioni haja tena ya kuwa na ID mbili
Sawa dogo 😂Basi na sasa hivi usituambie una ID hii na ile tu
Unazo nyingi na unazitumia vibaya
Nakushauri kama braza/sis ... tumia IDs zako vizuri, umesema upo kwenye mid 30s meaning ni mtu mzima sana na sio umri wa kupelekeshwa na ujana
Sijawahi kufanya hivyo. Huwa napokea mtu kama alivyo. Mimi ni mtu nisiye penda mikato mikato they know me so wellHata ukiwa nayo usitutukane huku then kule unatuchekea
Ni dalili mbaya sana kwa mwanaume(if you know what i mean)
Sijawahi kufanya hivyo. Huwa napokea mtu kama alivyo. Mimi ni mtu nisiye penda mikato mikato they know me so well
Seran nilikuwa na kisasi nae. Na by the time natifautiana ne by another ID tyr haukuwa on the same page hata kwa ID hii
Dadeki.!Aibu mtaona nyie
Moja nilimfanya ajihisi soo down nyingine nikaaona nimsumbue tuu. It was soo fun
Word.
Wengine tu napenda tu burudani na kuwa care free maisha mafupi haya.
😹😹😹😹 Huyo de gunner ana id mpk za kike na ile ya pawa mabula ni yake..!!Aje atuwekee km ulivyo, uchambuzi na uchaguzi tutafanya sie wenyewee.
😂😂😂