Mazungumzo kati ya Rais na Vyama vya siasa , Vyama vyaambiwa vipeleke ajenda zao kwa John Shibuda au kwa Msajili wa Vyama vya siasa Francis Mutungi

Status
Not open for further replies.
Baada ya kufika huko zitakusanywa na baadaye zitafikishwa kwa Mh Rais kwa hatua zaidi .

Francis Mutungi ni Msajili wa vyama vya siasa mwenye tuhuma nyingi za kuhujumu vyama vya siasa akishirikiana na kada mwingine wa ccm aitwaye Sisty Nyahyoza , sasa kuvitaka vyama vya siasa vipeleke ajenda zao kwa watu wa aina hii ni sawa na kuvitukana matusi ya nguoni , bila shaka jambo hili halitawezekana

Bali bado haijafahamika John Shibuda anapewa kazi ya kupokea Ajenda za vyama vya siasa kama nani .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taaifa zaidi .
Kama ni watu wakuwalaumu kwa kulivuruga taifa letu katika watano wa kwanza wale wa nec nawapa namba 4,msajili 5,naibu wa watunga sheria 3,na msemaji wawatunga sheria anashahili bamba 2.Moja naihifadhi kwa sababu maalumu.
 
Baada ya kufika huko zitakusanywa na baadaye zitafikishwa kwa Mh Rais kwa hatua zaidi .

Francis Mutungi ni Msajili wa vyama vya siasa mwenye tuhuma nyingi za kuhujumu vyama vya siasa akishirikiana na kada mwingine wa ccm aitwaye Sisty Nyahyoza , sasa kuvitaka vyama vya siasa vipeleke ajenda zao kwa watu wa aina hii ni sawa na kuvitukana matusi ya nguoni , bila shaka jambo hili halitawezekana

Bali bado haijafahamika John Shibuda anapewa kazi ya kupokea Ajenda za vyama vya siasa kama nani .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taaifa zaidi .
Msipeleke ajenda za mkutano muendelee kufyekwa.
Mtu unaitwa mkutano na unatanguliza masharti yako
 
Kwa kifupi kila kikao lazina kiwe na agenda, katibu, mwenyekiti na wajumbe wa kikao.
Hapa naona mwenyekiti ni raisi, katibu ni huyo mwenye tume ya uchaguzi au shibuda (I think anawakilishaga vyama vya upinzani somehow).
Nadhani ndio protocol ilivo, ss hapa pia ni mtego kwa vyama vya siasa, mosi nani anakuwa katibu wa kikao wao ndo wachague kwa kupeleka hoja zao huko, I gues the less evil ni shibuda na ningeshauri hoja mojawapo iwe ya kuhusu tune ya uchaguzi na taratibu za uchaguzi.
Kwa kifupi hii chance ni holden chance kwa vyama vya upinzani, wasitumie jazba kuamua mambo yao au kuyawasilisha wachague watu makini ambao sio wapige kelele na wanauwezo wa kuwasilisha issues zao kiustaarabu na zikaeleweka.
Kimsingi yanayolalamikiwa yanajulikana kabisa. Bila kuwa na malengo genuine na honest kutoka pande zote mbili ni kupoteza muda tu. Kwa kifupi haya mambo yanataka ukomavu wa kisiasa, kuweka ubinafsi na uchama pembeni bali maslahi ya Taifa yatangulizwe. Upande wa serikali wajue nchi yoyote yenye upinzani imara ni afya kwa Taifa na upinzani ni mdau muhimu sana wa kuendesha nchi na wapinzani waweke matumbo yao pembeni watangulize nchi mbele. Pande zote mbili zikiwa na haya malengo watajikuta kikao kinakuwa productive na hakitahitaji hata watu kama kina Shibuda ambao wanajulikana na wachumia matumbo tu.
 
Kama siyo siri ni kwanini zisiwasilishwe moja kwa moja kwa mhusika au aseme ziwekwe mtandaoni?
Anyway, vyama vya siasa vina matatizo yao ambayo probably yanaweza yasiwe matatizo ya wananchi ndio maana yanakuwa siri ???
 
Anyway, vyama vya siasa vina matatizo yao ambayo probably yanaweza yasiwe matatizo ya wananchi ndio maana yanakuwa siri ???
Tutamtoa_Mkoloni_Mweusi_Soon_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_akisalimiana_na_Waziri...jpg
 
Hebu acha kuandika ujinga!!!! Hao Covid-19 waendelee kuwa Bungeni Kwa katiba ipi!? 😳😳
Kumbe ni CHADEMA tu ndio wapinzani? Kama list ndio hiyo hakuna haja ya kuwasikiliza hao wapinzani, maana watataka au watataka COVID 19 watolewe Bungeni.
Kuna watu km Zitto Kabwe, Mbatia, Lipumba, Shibuda na wengineo haya mambo ya upinzani wa nyuma yangeisha sasa tutizame kwa ujumla la sivyo watasusia tena hata chaguzi za mitaa.
 
Anyway, vyama vya siasa vina matatizo yao ambayo probably yanaweza yasiwe matatizo ya wananchi ndio maana yanakuwa siri ???
Hakuna siri yoyote. Japo naweza kusema mara nyingi viongozi wa nchi zetu za kiafrika huwa hawapendi matakwa ya mazungumzo kama haya kuwekwa hadharani hasa kabla hawajazungumza. Ila hakuna siri yoyote na yangewekwa wazi kabla hayajaanza.
 
Ndugu Zangu Hofu Ni Mbaya Yaani Tunatishana Sana
Hata Hii COVID 19 Tutaimaliza Kwa Maombi Tu
JPM
 
Sasa kwa mantiki hiyo zile agenda zinazoonekana za moto naona haziwezi fikishwa kwa namba moja.
Jaji mutungi atapeleka zile ambazo hazina madhara yoyote kulinda ugali wake.
 
Ni protocol, kwa uzoefu wa kiutawala huwa kuna agenda ya mengineyo. Muhimu Chadema ipeleke negiotiators wenye uwezo na sio kupeleka wakina John Mrema ambao mdomo mzito hata kusema neno peoples power ni shida.

My fav list.
Freeman mbowe
Jj Mnyika
Mwalimu
Somebody Ahmed yule mzenji
Catherine Ruge
Devotha Minja
Mbona CHADEMA wote?

Kumbuka anakutana na vyama vya siasa vyote ikiwemo CCM...
 
Ndio rais ni mkuu sana hizi kelele za wanywa konyagi hadi kuanguka waishie kwa shibuda tu
Itifaki ifuatwe, Rais alisema atkutana na viongozi was vyama vya upinzani.
Na kama wapinzani waliomba, hawakupitia kwa msajiri Wala shibuda.

Rais kweye kikao hicho atasimama akiwa Rais na siyo mwenyekiti was ccm.
Akisimama km mwenyekiti happy shibuda na mtungi hawakwepeki
 
Wapinzani wanapenda kulalamika bila sababu. Kwani wakiandika hizo hoja wakampelekea Jaji Mutungi au Shibuda na kuipa public copy watapungukiwa nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom