Kwani siyo Rais wao na Rais wao ni Shibuda? Labda tuanzie hapo.Ndio rais ni mkuu sana hizi kelele za wanywa konyagi hadi kuanguka waishie kwa shibuda tu
Kwani siyo Rais wao na Rais wao ni Shibuda? Labda tuanzie hapo.Ndio rais ni mkuu sana hizi kelele za wanywa konyagi hadi kuanguka waishie kwa shibuda tu
Murua kwa vipi kuliko ana kwa ana. Shibuda ni CCM, why route through him?
Shibuda ana cheo fulanj kwenye jukwaa la vyama vya siasa....ila Mama anakosea sasa ana wasaidizi kibao ikiwemo wa siasa...na huyo waziri asiye wizara hiyo ndio kazi yake link jamii na rais kama Wasira awamu 4 alikuwa hivyoBaada ya kufika huko zitakusanywa na baadaye zitafikishwa kwa Mh Rais kwa hatua zaidi .
Francis Mutungi ni Msajili wa vyama vya siasa mwenye tuhuma nyingi za kuhujumu vyama vya siasa akishirikiana na kada mwingine wa ccm aitwaye Sisty Nyahyoza , sasa kuvitaka vyama vya siasa vipeleke ajenda zao kwa watu wa aina hii ni sawa na kuvitukana matusi ya nguoni , bila shaka jambo hili halitawezekana
Bali bado haijafahamika John Shibuda anapewa kazi ya kupokea Ajenda za vyama vya siasa kama nani .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taaifa zaidi .
Acha uongo.Baada ya kufika huko zitakusanywa na baadaye zitafikishwa kwa Mh Rais kwa hatua zaidi .
Francis Mutungi ni Msajili wa vyama vya siasa mwenye tuhuma nyingi za kuhujumu vyama vya siasa akishirikiana na kada mwingine wa ccm aitwaye Sisty Nyahyoza , sasa kuvitaka vyama vya siasa vipeleke ajenda zao kwa watu wa aina hii ni sawa na kuvitukana matusi ya nguoni , bila shaka jambo hili halitawezekana
Bali bado haijafahamika John Shibuda anapewa kazi ya kupokea Ajenda za vyama vya siasa kama nani .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taaifa zaidi .
Baada ya kufika huko zitakusanywa na baadaye zitafikishwa kwa Mh Rais kwa hatua zaidi .
Francis Mutungi ni Msajili wa vyama vya siasa mwenye tuhuma nyingi za kuhujumu vyama vya siasa akishirikiana na kada mwingine wa ccm aitwaye Sisty Nyahyoza , sasa kuvitaka vyama vya siasa vipeleke ajenda zao kwa watu wa aina hii ni sawa na kuvitukana matusi ya nguoni , bila shaka jambo hili halitawezekana
Bali bado haijafahamika John Shibuda anapewa kazi ya kupokea Ajenda za vyama vya siasa kama nani .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taaifa zaidi .
Alipaswa kukutana na kila chama peke yake maana kila mmoja ana priorities zake ambazo zitahitaji muda kujadili. Kuwaita wote kwa pamoja ni kuwapa wapambe kama Shibuda uzito wasiostahili. Unaweza kukuta kuwa Shibuda na Msajili wa Vyama ndio watapewa nafasi ya kuzungumza kwa niaba.Shibuda na Mutungi wanaweza kuchakachua.
Mimi nadhani yapelekwe kwa mshauri wa Rais wa mambo ya siasa!
hii ina maana kuna tafutwa sababu mseme "walikataa wenyewe"?Kama wapinzani watagomea utaratibu huu murua kabisa, basi nitaamini hawana nia njema.
Wacha utani.Kama wapinzani watagomea utaratibu huu murua kabisa, basi nitaamini hawana nia njema.
Dr Marco's AlbanieNi protocol, kwa uzoefu wa kiutawala huwa kuna agenda ya mengineyo. Muhimu Chadema ipeleke negiotiators wenye uwezo na sio kupeleka wakina John Mrema ambao mdomo mzito hata kusema neno peoples power ni shida.
My fav list.
Freeman mbowe
Jj Mnyika
Mwalimu
Somebody Ahmed yule mzenji
Catherine Ruge
Devotha Minja
Kama siyo siri ni kwanini zisiwasilishwe moja kwa moja kwa mhusika au aseme ziwekwe mtandaoni?Kwani agenda za vyama vya siasa na zenyewe ni SIRI ??
Waziweke hata mitandaoni tu
Angekuwa ana mambo mengi asingekubali kukutana naoRais wa nchi ana mambo mengi ya kufanya siasa hawezi kupoteza muda na jambo moja
Wewe ni zimwi la CCMKama wapinzani watagomea utaratibu huu murua kabisa, basi nitaamini hawana nia njema.