R.I.P. Regia.
Hakika ametutoka kipenzi chetu na kamanda kijana kabisa, ila wa Jf nawaomba ktk kipindi hiki kigum tuzidi kuiombea roho yake ipumzike kwa amani kwani alichomwagiza Mola wake kukifanya chini ya jua tayari amekimaliza na kwa ushindi mkubwa ndio maana utaona ktk mazishi yake amesindikizwa na kila aina ya watu masikini kwa matajiri, na hivyo ndivyo Mungu anapenda tuishi.
La mwisho wana Jf wenzangu tuombe na tutafakuri vizuri na Mungu atuongoze ili tupate kamanda mwingine atakaeweza kuvaa viatu vya Regia......... R.I.P. Regia
Hakika ametutoka kipenzi chetu na kamanda kijana kabisa, ila wa Jf nawaomba ktk kipindi hiki kigum tuzidi kuiombea roho yake ipumzike kwa amani kwani alichomwagiza Mola wake kukifanya chini ya jua tayari amekimaliza na kwa ushindi mkubwa ndio maana utaona ktk mazishi yake amesindikizwa na kila aina ya watu masikini kwa matajiri, na hivyo ndivyo Mungu anapenda tuishi.
La mwisho wana Jf wenzangu tuombe na tutafakuri vizuri na Mungu atuongoze ili tupate kamanda mwingine atakaeweza kuvaa viatu vya Regia......... R.I.P. Regia