Matola,
Nafahamu na kuielewa concern yako, unaona sote hapa tunajaribu kuwahimiza walioko huko Ifa wajitahidi kutufahamisha kinachoendelea.
Ila mkuu umekuwa mkali sana, Josephine amesha acknowledge kuelewa concern yako na bila shaka ujumbe utamfikia mhusika
Labda nikung'ate sikio kwamba hata mabadiliko yaliyofanyika hivi karibuni na kuteuliwa Mh. Mnyika kuwa Mkurugenzi wa habari na uenezi ilichangiwa pia na concern za wanaJF. Tuwape muda kidogo tu wamalize shughuli za maziko, sina shaka kwamba Dr. Slaa atapita mtaa huu na kusoma mawaidha yetu.