Na katibu wa wilaya Kilombero anayajua hayo maana ilibidi aokolewe na polisi wa CCM kabla hajauwawa na wana CDM watulivu..Siku zote mahali walipokusanyika wana chadema ni amani na salama. Ukiona hali ya hewa imechafuka, fuatilia mara zote kama hutakuta ni polisi wa sisiem wameichafua..
Wakati huu ni mgumu zaidi Josephine. Haulingani na ilivyokuwa Ruvu ajalini, Tumbi hospitali, Muhimbili, Tabata, Kanisani Segerea, Karimjee wala njiani kuelekea Kilombero. Kote huko mliiona maiti yake au Jeneza lake. Sasa mnamuaga rasmi. Hamtamwona tena Regia.
ni kweli kaka uliyosema,
wakati nasoma post yako,mwili wa marehemu unaingizwa uwanjani.
Naliiiiiiiiiiiia mimi Regia it is hard to believe that you are no more,
mmmmm too bad.
Asante Mungu.
Pole na wewe Mwana wa Ayoub..!!Pole sana mama! Mungu akutie nguvu mmalize salama.