Mauaji Afrika Kusini: Amuua mwenzake, amkata Kichwa na kula viungo vya ndani sehemu ya tumbo


Umenikumbusha mwaka2017 au 2018 huko huko Kilosa Maasai alimchoma mkulima mkuki mdomoni ukatokea shingoni. Lile tukio kila nikilikumbuka nashindwa kumuelewa binadamu.

Cha kushukuru jamaa alipona, hivi unajua ile picha ya mhanga haijawahi kunitoka akilini ukizingatia nilimuona physically aisee acha tu kuna watu wana roho zao
Yaani kwa matukio ya wakati ule
Kama sim makamera social media zingekuwepo matukio yale yangerushwa,hali ingekuwa hatari sana
In inshort mwanadam ni hatari sana kuliko hata mnyama

Ova
 
Na Vijana wa Arusha nao siku hizi wanajifanya wana rohoo za ki South za kupigana visu kwa visa vya kipumbavu tu!!
Arusha uongomvi wa visu hawajaanza leo
RIP FARTHER NELLY naye alipigwa kisu akafa

Ova
 
Inaonekana serikali ya South ina wadekeza wahalifu.

Nasikia huko South, kesi ya mauaji ina mdhamana, na kiwango cha pesa ya udhamini ni ndogo sana, kwanini watu wasiuane ?

Kuna matatizo huwa rahisi sana kuyaondoa, kama haya ya mauaji na watu kuuana. Ni kwamba akiua mtu akapatikana na hatia na yeye anauliwa hakuna stori za mawakili wala hiki Wala kile.
Kwanza hata hukumu zao nyepesi muuaji anapewa Miaka yake 15 anapoa
 
Ndugu Ukigomban na mtu dunia ya leo ukaona ameondoka mara baadae/kesho anakuja kulianzisha jua amejiandaa, na watu hawatanii sikuhizi unatolewa supu mapema.

Tumia miguu yako vizurii, hujapewa ya kupiga mapaka hio,
Mimi Niliponea chupu chupu, baada ya kuona kuna kitu kimetuna kwenye T-shirt kumbe ni sime, Acheni kabisa, nilichomoka kiasi kwamba alikimbiza hatua chache tuu akakata tamaa, sikurudi ile mitaa mpaka lile juha lilitiwa nguvuni.
 
Back
Top Bottom