Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,489
- 8,628
Kwa Madiba kuna mambo,
Jamaa amefanya kitendo cha kinyama sana kuutoa uhai wa mtu mwingine bila hata chembe ya huruma
Muuaji alikua na bifu na Marehemu na alimfuata mpaka sehemu ya kazi kulianzisha, aliingia na visu viwili kimoja kikubwa na kingine kidogo kwaajili ya kutekeleza mauaji hayo
Baadhi ya mashahidi wanasema Marehemu alipotaka kukimbia kujiokoa maisha yake Walinzi wa getini walimfungia kwa nje.
Muuaji baada ya kutekeleza mauaji hayo alijipiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii
Upelelezi unaendelea.....
Angalizo picha zinahuzunisha
Jamaa amefanya kitendo cha kinyama sana kuutoa uhai wa mtu mwingine bila hata chembe ya huruma
Muuaji alikua na bifu na Marehemu na alimfuata mpaka sehemu ya kazi kulianzisha, aliingia na visu viwili kimoja kikubwa na kingine kidogo kwaajili ya kutekeleza mauaji hayo
Baadhi ya mashahidi wanasema Marehemu alipotaka kukimbia kujiokoa maisha yake Walinzi wa getini walimfungia kwa nje.
Muuaji baada ya kutekeleza mauaji hayo alijipiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii
Upelelezi unaendelea.....
Angalizo picha zinahuzunisha