Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,549
- 8,760
- Thread starter
- #21
Lao moja, suspect namba mbili ni hao walinzihamna walinzi hapo.
Lao moja, suspect namba mbili ni hao walinzihamna walinzi hapo.
Ni wakatili sana
Inasikitisha sanaHawa watu na black Americans hawana tofauti, mtu akikosewa kidogo anakimbilia kuua
Jamaa angekosa Fanya Lile lililompeleka pale.hao walinzi wangeuwawa pia.Ile nchi isikie tu.Kuna muda inabidi uzoee milio ya bunduki na pia kutolewa na majitta bunduki.Kwanini walinzi wamfungie kwa nje🤔🤔
Mmmmh🤔🤔.. tumshukuru Mungu tupo kwenye nchi amaniJamaa angekosa Fanya Lile lililompeleka pale.hao walinzi wangeuwawa pia.Ile nchi isikie tu.Kuna muda inabidi uzoee milio ya bunduki na pia kutolewa na majitta bunduki.
Kwenye katiba Yao waliondoa adhabu ya kifo baada ya Mandela kuwa raisi wao,Maisha wakati wa Ubaguzi wa rangi ni kuwa walikuwa wanauwana sana wenyewe kwa wenyewe...na mpaka Leo Askari police kuuwawa na raia ni kitu Cha kawaida (asakari akimzinguwa mtuhumiwa tu basi Maisha yake yapo mashakani).Inaonekana serikali ya South ina wadekeza wahalifu.
Nasikia huko South, kesi ya mauaji ina mdhamana, na kiwango cha pesa ya udhamini ni ndogo sana, kwanini watu wasiuane ?
Kuna matatizo huwa rahisi sana kuyaondoa, kama haya ya mauaji na watu kuuana. Ni kwamba akiua mtu akapatikana na hatia na yeye anauliwa hakuna stori za mawakili wala hiki Wala kile.
A. Wanajiendekezamh south madawa yamewaharibu wamekua kama wanyama
Sana. Mimi wiki ya kwanza kule nilikutana na vibaka wenye bunduki ! Mita 300 tu toka nilipofikiaMmmmh🤔🤔.. tumshukuru Mungu tupo kwenye nchi amani
1.Wamekata tamaa na Hali Dunia ya Maisha na tofauti kubwa kati ya masikini na Matajiri.A. Wanajiendekeza
B. Serikali imepuuza kutokana na matukio ya kujirudia
.... Cheee(mtu anaweza hudhuria MAZISHI ya aliemuuwa😭)
Pole sana mkuu, mambo ya walimwenguJamaa katili sana.
Muwe mnaweka tahadhari ya hizo sensitive image. Hii siku ya leo kwa upande wangu imeshaharibika tayari kwa kuona hizo picha.
Aisee 🤔Sana. Mimi wiki ya kwanza kule nilikutana na vibaka wenye bunduki ! Mita 300 tu toka nilipofikia