Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Jamani mchina ni level nyingune lile bus T226DJQ lina gps tracker na kuna camera za siri, haya ngoja wadogo waumbuke sasa. Naomba sirro awachukue maelezo wafanyakazi wa hilo bus ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya huyu dogo mshenzi.

Waliokuelewa ulichokiandika hapa watanisaidia kunielewesha.
 
Ahojiwe tena live kwenye TV , tcra watatusaidiaaliowasiliana nao siku yakujiteka.
 
Jamani mchina ni level nyingune lile bus T226DJQ lina gps tracker na kuna camera za siri, haya ngoja wadogo waumbuke sasa. Naomba sirro awachukue maelezo wafanyakazi wa hilo bus ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya huyu dogo mshenzi.
Screenshot_2018-03-08-09-32-56.png
 
Jamani mchina ni level nyingune lile bus T226DJQ lina gps tracker na kuna camera za siri, haya ngoja wadogo waumbuke sasa. Naomba sirro awachukue maelezo wafanyakazi wa hilo bus ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya huyu dogo mshenzi.
Umeandika habari nusu nusu unataka kusema Nonda alipanda bus hilo?akashuka mwenyewe?tatizo vyombo vyetu havitaki kuingilia masuala haya kwa kina sijui sababu
 
Vichwa vingine vya uzi kama vya magazeti ya shigongo...

Badala ya kuweka hizo vids mnaweka story
 
Jamani mchina ni level nyingune lile bus T226DJQ lina gps tracker na kuna camera za siri, haya ngoja wadogo waumbuke sasa. Naomba sirro awachukue maelezo wafanyakazi wa hilo bus ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya huyu dogo mshenzi.
Kwenye ukweli uongo hujitenga,,,,tusubiri kama huyo Sirro atafanya hivyo,na kama Sirro hakufatilia hilo Basi basi itakuwa mlimteka kweli...
 
unachanganya vitu viwili tofauti..gps tracker ni kwa ajili ya kuangalia gari na mwenendo wake..sio kuangalia abiria alie ndani.
 
Serikali iingilie kati hili suala kwanza wakamate mawasiliano ya simu ya huyu muhuni, watape simu zote zilizoingia na sms, wasource pia locations za hiyo simu,

Kukamata uhumi wa hawa wapumbavu ni rahisi sana tena uchunguzi wa kina ufanywe wote wapelekwe mahakamani tena kwa hati ya dharura watu wafungwe haraka haraka, sababu tumechoka sasa na huu usanii
 
waweke hizo clips kumaliza utata, sio bla bla, gps ni za basi hatuwezi jua kama alikuwemo, tunachotaka kujua hizo clips zitolewe hadharani
 
Hebu fanyeni uchunguzi mtuletee mrejesho acheni porojo
 
We una mahaba sana na issues....

Bora ungesubiri full statement ya dogo ndo uje na huu upupu hapa.... otherwise na wewe unaonekana ni wale wale tu.
Dogo anatafuta kiki , ajue mbele bado yanahitajika maisha na yeye ndio bado kabisa kwa comedy za Ufipa.
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Ni dhahiri comedy muendelezo wa comedy za Ufipa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom