Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Katiba Mpya! Katiba Mpya! Katiba Mpya! Inatakiwa Tz haraka sana. Kuanzia Tume (nec), mchakato wa kampeni, upigaji kura, zoezi la utangazaji wa matokeo vyote vina madudu. You can't go on like this unless we need Tz to blow-up.

Zambians took less than 72 hours to finish it. Kwa uwiano huu kama jimbo moja linachukua zaidi ya saa 24 then tunahitaji miezi 6 ktk uchaguzi wa nchi nzima. Aibu! Hatari sana, huu (nec + ccm) sasa ndio uvunjifu kamili wa amani & utulivu.
 
msemaji wa polisi amesema kuwa hauna mtu aliyejeruhiwa mpaka sasa.
 
ITV/Radio One: 11:45AM

Vijana wa Chadema na CCM wapambana vikali kwa mapanga na marungu. Maji ya kuwasha yamwagwa hovyo. Polisi wanawakamata watu hovyo. Igunga sasa ni hatari, maduka yote yamefungwa na watu wako mkao wa tahadhari. Vijana wa Chadema na CCM wote wanadai kushinda uchaguzi. Huko halmashauri milango bado imefungwa.

Wakati fujo ikiendelea, kiongozi mmoja wa FFU alithibitisha hakuna aliyejeruhiwa hadi sasa japo hali ilikuwa tete kidogo. Mpaka sasa hali hapo Igunga mjini fujo imepungua kidogo. Viongozi wa Chadema walimejitahidi kuwasihi vijana watoke barabarani na waende Halmashauri kuhakikisha kura haziibiwi huko.

Habari na 'Ufoo Saro - ITV'
 
Kazi iliyopo mbele yetu ni kutafsiri kisiasa matokeo ya Igunga. Nionavyo mimi, Chadema imepata nguvu kubwa sana ya kisiasa kwani uchaguzi uliopita hawakuwa na mgombea na wala hawakuwa na political base huko. Ukitaka kujua Chadema imepata ushindi angalia ilicho gain na walichopoteza CUF na CCM. Kama chadema ikiendelea kufanya vizuri hivi, kuna kila dalili watashinda 2015. Na ukweli ni kwamba kama vijana wangepewa nafasi ya kujiandikisha matokeo yangekuwa tofauti
 
hawa itv nao ni magamba,jana baada ya kuendelea kutoa matokeo wakapigwa biti ikabidi waage na kuanza mambo mengine
hawana lolote
 
ni kweli, lakini bado kuna kazi ya ziada yahitajika kufanyika kwa tume yetu ya uchaguzi, kwa kua kama watu wanawiza kuhesabu na kupata ididi tofauti na wao that means kuna shida kwa tume yetu ya uchaguzi
 
Muda si mrefu sana mambo yatakuwa hadharani, wanahabari wote wameitwa huko ofisi ya msimamizi wa uchaguzi.

Source: ITV/Radio One 11:57AM
 
lazima tusome na tuelewe! NASEMA KATA 24, VITUO 410 HAVIWEZI KUTUFIKISHA HADI MDAA HUU MATOKEO BADO! LAZIMA TUJUE KINACHOENDELEA NININI!LAKINI WAJUE KAMA WANAJIONA WAJANJA BASI ILA WAJUE NA SISI TUMESOMA SHULE HIZOHIZO, TUNAISHI NDANI YA JAMII HIYOHIYO NA WAHUJUM WETU TUNAWAJUA NI WALEWALE!NI ISHARA NA PICHA NZURI KWA TAIFA TUNAWEZA KUPATA MWANGA WA WAPI TUANZIE KWENYE MAPAMBANO YETU! IPO SIKU WATAKIMBIA NCHI HII!NEC HAINA WAFANYAKAZI WA KUDUMU,INATUMIA WAKURUGENZI WA WILIYA NA MAJIJI, AMBAO KIMSINGI NI MAKADA WA CHAMA NA WAMECHAGULIWA NA RAISI SO LAZIMA WAWE NA UTII KWA NJIA YOYOTE ILE!TULIKURUPUKA KUKUBALI VYAMA VINGI BILA KUREKEBISHA KATIBA!HUU MZIMU UTATUTESA ILA WATANZANIA KWA NGUVU ZETU NA SAUTI ZETU, HAWA TUTAWASHINDA TU!MABADILIKO HUWA YANA CHANGAMOTO KAMA HIZI!
 
kumbe makamanda waliweka kambi kwenye ofisi ya alimashauri.atulali hadi kieleweke.
 
Rai
We should preserve our dignity. Democracy is not about winning at all costs. However hard and painful it is we're big ebough to take it and move on. CDM probably knew they were up against criminal thieves (ccm) and cheats (nec) so we need to move on whatever the "results".
 
ai, makelele yote haya kumbel matokeo bado hayajatangazwa!!!!
ndio style yao ya kuiba hiyo, wanachombeza habari kidogo kidogo ili tufure tu wake motoo, tukarisike halafu watuvumishie maji ya kuwasha tukiwa hoi wanatuambia tupekele makanyagio yetu nyumbani kusubiri matokeo then wanaleta ile habari kamili ya machakachuzi ...hadanganyiki mtu leo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom