Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Katiba Mpya! Katiba Mpya! Katiba Mpya! Inatakiwa Tz haraka sana. Kuanzia Tume (nec), mchakato wa kampeni, upigaji kura, zoezi la utangazaji wa matokeo vyote vina madudu. You can't go on like this unless we need Tz to blow-up.
Zambians took less than 72 hours to finish it. Kwa uwiano huu kama jimbo moja linachukua zaidi ya saa 24 then tunahitaji miezi 6 ktk uchaguzi wa nchi nzima. Aibu! Hatari sana, huu (nec + ccm) sasa ndio uvunjifu kamili wa amani & utulivu.
Zambians took less than 72 hours to finish it. Kwa uwiano huu kama jimbo moja linachukua zaidi ya saa 24 then tunahitaji miezi 6 ktk uchaguzi wa nchi nzima. Aibu! Hatari sana, huu (nec + ccm) sasa ndio uvunjifu kamili wa amani & utulivu.