Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,993
Zitto katika twitter amekiri CDM kushindwa, tuache ushabiki lets face the facts magamba kwa hapa wamesha shinda CDM ijipange upya
Mwenye mamlaka ya kutangaza mshindi ni NEC.
Hata msemaji wenu Nape alitangaza mmeshinda lakini baada ya watu kusoma takwimu zake kwa macho angavu wakagundua amechakachua. Mara tunamsikia TBC1 anakanusha kwamba siye aliyepost hayo matokeo.
Kwa dalili hizi za kuchelewesha kutangaza matokeo na polisi kupiga mabomu mjini igunga, naanza kumuamini wa jikoni kwamba chadema wameshinda uchaguzi ila ccm wanatafuta mbinu ya kuchakachua kwahiyo wameizuia tume ya uchaguzi kutangaza matokeo hadi wafanikishe mpango wao wa kuchakachua mahesabu.