Niliahidi kuvaa gwanda kama CDM wangeshinda Igunga, namshukuru Mungu na joto hili wabaki na magwanda yao. Kidumu Chama Cha Mapinduzi, popote duniani!
nyambafu uvae magwanda we kama nan! magwanda tunavaa magwanda 2! magamba hamruhusiwi
Niliahidi kuvaa gwanda kama CDM wangeshinda Igunga, namshukuru Mungu na joto hili wabaki na magwanda yao. Kidumu Chama Cha Mapinduzi, popote duniani!
asante natumaini magadi hayajafanya kazi.mshindi ni mwalimu, ila Dr. Kafumu amegoma kusaini fomu ya kukubali kushindwa; anataka kura zihesabiwe upya.
mshindi ni mwalimu, ila Dr. Kafumu amegoma kusaini fomu ya kukubali kushindwa; anataka kura zihesabiwe upya.
kwanini??Ukweli ni kwamba matokeo rasmi yatatangazwa sa 8 mchana...
zittokabwe :irregularities nyingi sana
mshindi ni mwalimu, ila Dr. Kafumu amegoma kusaini fomu ya kukubali kushindwa; anataka kura zihesabiwe upya.
lazima kuwe na mapungufu mengi sana kwani ukiangalia wafanyakazi watume yaujaguzi wamewekwa na ndugu zao tu na wengi wao hawana sifa wa hawajasoma ni namna gani mifumo ya chaguzi inafanya kazi
kwa mfano hakuna wataalamu wa kutosha kwenye kitengo cha IT ambacho uingiza matokeo kwenye database ili kujumlisha na kuwanyiwa michanganuo
pia tume haiko huru
Watakuwa wamemaliza kuchakachua!..aka kuiba kura za chadema!kwanini??
Ukweli ni kwamba matokeo rasmi yatatangazwa sa 8 mchana...
tetesi ni kwamba BAKWATA wameshinda
- Hii imekaaje mgombea ubunge kutopiga kura katika jimbo lake? Tume ya uchaguzi ina utaratibu gani katika kuhamisha haki ya mgombea kutoka jimbo jingine kwenda kupigia kura jimbo analogombea? Mkanganyiko huu unatakiwa kufanyiwa kazi na tume hali kadhalika katiba ya nchi.