sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahahaaa. Watatoa tamko muda si mrefu vuta subira!BAKWATA wanasemaje???????????????
Hahahaaa. Watatoa tamko muda si mrefu vuta subira!BAKWATA wanasemaje???????????????
Hahahaaa. Watatoa tamko muda si mrefu vuta subira!BAKWATA wanasemaje???????????????
ITV/Radio One: 11:45AM
Vijana wa Chadema na CCM wapambana vikali kwa mapanga na marungu. Maji ya kuwasha yamwagwa hovyo. Polisi wanawakamata watu hovyo. Igunga sasa ni hatari, maduka yote yamefungwa na watu wako mkao wa tahadhari. Vijana wa Chadema na CCM wote wanadai kushinda uchaguzi. Huko halmashauri milango bado imefungwa.
Wakati fujo ikiendelea, kiongozi mmoja wa FFU alithibitisha hakuna aliyejeruhiwa hadi sasa japo hali ilikuwa tete kidogo. Mpaka sasa hali hapo Igunga mjin
ITV/Radio One: 11:45AM
Vijana wa Chadema na CCM wapambana vikali kwa mapanga na marungu. Maji ya kuwasha yamwagwa hovyo. Polisi wanawakamata watu hovyo. Igunga sasa ni hatari, maduka yote yamefungwa na watu wako mkao wa tahadhari. Vijana wa Chadema na CCM wote wanadai kushinda uchaguzi. Huko halmashauri milango bado imefungwa.
Wakati fujo ikiendelea, kiongozi mmoja wa FFU alithibitisha hakuna aliyejeruhiwa hadi sasa japo hali ilikuwa tete kidogo. Mpaka sasa hali hapo Igunga mjin
wachinjane na hiyo damu iwe juu ya ccm na tume kwa kushindwa kuwa wakweli..
Mama D umekasirika gafla jamani, basi mama eh! punguza jazba.una matatizo binafsi au!!!?????
kuna chama kinaitwa Bakwata???
usipende kuleta udini kama huna la kuongea heri unyamaze!
tehe tehe tehe tehe, wa jikoni kweli au changa!mshindi ni mwalimu, ila Dr. Kafumu amegoma kusaini fomu ya kukubali kushindwa; anataka kura zihesabiwe upya.
Hahahaaa. Watatoa tamko muda si mrefu vuta subira!
Mkuu kweli?
wanachakachua matokeonilisema humu kuwa ccm ni wabishi na ndio chanz cha matokeo kutokutoka
Zitto katika twitter amekiri CDM kushindwa, tuache ushabiki lets face the facts magamba kwa hapa wamesha shinda CDM ijipange upya
zittokabwe Correction on my last tweet..We have lost the election. Chadema has NOT conceded. Contemplates petition.#Igunga