Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,514
Historia inaonyesha ukiona popote matokeo yamechelewa kutangazwa jua wameshindwa, kumbuka Mwanza, Arusha mjini, Segerea, Shinyanga mjini nk nk.kiukweli magamba wangeshinda matokeo yangeshatolewa toka jana usiku!!