tetesi ni kwamba BAKWATA wameshinda
mie namwamini wa jikoni kwa hiyo mshindi ni nani?Ni mabomu ya machozi na risasi. Askari wameamriwa.
Matokeo leo mchana.
Watu wanakimbiza mali zao ikiwa ni pamoja na magari.
hakuna biashara, maduka yamefungwa.
Source: Wa Jikoni.
Pliz Pliz Mods msihujumu threads zangu.
Habari zangu ni za ukweli.
anayenipigia after all ni mtu neutral sana ambaye ilibidi nifanye kazi ya ziada kumshawishi ampigie mwalimu kura.
zittokabwe :irregularities nyingi sanahakuna sababu ya mapambano kwani tumeona copy zote za matokeo ya kila kituo sasa kwenye kujumlisha ndio kusababishe mapigano ya taifa ilitume inatakiwa kutangaza na vile vile wananchi hakuna sababu ya msingi kufanya fujo
zittokabwe : vijana wa chadema walikuwa wanakusanyika katika ofisi na kambi ya chadema kupata maelezo ya viongozi. Polisi wamekuja kusambaza
mie namwamini wa jikoni kwa hiyo mshindi ni nani?