Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Hatuwezi wote kushabikia CDM hata iweje. Mimi siwezi kupanda DECI nikiwa na shida naingia bank within a week navuta hela nafanya mambo. Tufanyeni kazi tutafute pesa tusidanganyike CDM wakichukua nchi watakupa pesa mkononi, sahau...
Na hatuwezi wote shabikia chaka linaloungua ccm hata iweje. Ni ushamba wako kudhani kuwa Chadema itakuja kugawa pesa maana hapo ndio mwisho wako wa kufikiri.
Kaa tena jifunze siasa kisha njoo hapa na wewe uchangie.
 
Mlimani TV: Wananchi wawe na subira. Kuna taarifa nyingi ambazo hazina uhakika, tunazifuatilia kiuchunguzi na tutawapa taarifa sahihi.
 
Hatuwezi wote kushabikia CDM hata iweje. Mimi siwezi kupanda DECI nikiwa na shida naingia bank within a week navuta hela nafanya mambo. Tufanyeni kazi tutafute pesa tusidanganyike CDM wakichukua nchi watakupa pesa mkononi, sahau...
i need changes no matter what kind of it,ts over!
 
Naomba ndugu zangu wana CDM tusisherekee sana maana CCM huwa hubadilika mwishoni. Tusibiri mwisho.
Haya, ninachokiona hapa matokeo katika vituo kadhaa vya mjini Igunga yanaonyesha CHADEMA inaongoza na hali ni shwari sasa ila viongozi wengi wa CCM wameondoka hapa mjini igunga kila ukupita mitaani sasa ni CHADEMA mwendo mdundo. Mjini ndio kuna wapiga kura wengi hapa Igunga.

CCM wamekimbia mji hoteli waliyofikia vigogo ipo kimya. Kwa sasa nasubiri vituo vya vijijini.


Other updates:

06:00 PM Misururu ya vijana imeonekana mida ya jionijioni, yawezekana idadi ya waliopiga kura ikaongezeka.
 
Hivi huyu mwalimu wa CDM aliresign kazi yake au aliomba likizo bila malipo?
Sijui ataenda wapi baada ya uchaguzi. Posts zote CDM zimeshajazwa na ndugu zangu wachagga!
 
Currently Online: 7588
There are currently 2716 users browsing this thread. (543 members and 2173 guests)
 
matokeo ya kata 10 yanaonesha kuwa CCM imepata kura 10,228 wakati CDM imepata kura 7316 hivyo CCM inaongoza kwa kura 2912!
 
Mlimani TV: Waliokusanyika nje ya ofisi za halmashauri hawatambuliki ni kutoka chama gani.
 
WAJIKONI sasa wameshakuwa wengi hapa, inabidi tujue ni jiko lipi hasa, isije ikawa ni wachoma nyama pale Break Point.
 
acheni ushabiki linapokuja suala la taarifa

CDM wameongoza kwa kura chache mjini, CCM wameongoza kwa kura nyingi vijijini

ni matokeo ya Kata moja pekee yametoka, CUF hawapo kwenye kinyang'anyiro(mseto wake na ccm umekigharimu)
 
Mpaka sasa khali ya CDM inafurahisha na kutia matumaini. Kaza buti mpaka 2015 kieleweke, tuweze kukombolewa kutoka mikononi mwa Mafisadi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom