Mzee
Platinum Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,867
Kwa kifupi chadema wameshinda kwa mujibu wa data za ITV na star TV, nashangaa tbc wameuchuna hawasemi kitu
peoplez
Kwa kifupi chadema wameshinda kwa mujibu wa data za ITV na star TV, nashangaa tbc wameuchuna hawasemi kitu
poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerpeoplez
Kuna kila dalili kwamba magwanda ameshinda!
hiko ndicho kinachoendelea!!vuta subira mkuuMkubwa! Waliokuhabarisha hebu waambie wakujuze kinachoendelea mpk majira haya.
Kwani lazima wote tuwe chama cha magwanda ndio tuonekane wajanja??ni demokrasia gani mnayoililia kama mtatulazimisha wote tuwe magwanda?JF ni ya wote, si mangwanda tu, kila mtu ana uhuru wake mkuu. Au una maumoivu ya kushindwa Igunga???
ITV LIVE... Mtagazaji akiri Novat Makunga atakuwa amepewa matokeo ambayo si sahihi,,,,,,sa yale magape aliyoyatoa yatakuwa na mushkeli
Atakuwa alitumwa..Jaman yule mtangazaj alieleta matokeo ya kupikwa anashambuliwa na watangazaj wenzake. Kaumbuka. Novatus anasubiri kibano. Ni m babaishaji.