Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Hata kipimo cha imani kwenye biblia ni sumu, ulishasikia nani akijipima? si papa wala pengo seuse maamuma. Unanchekesha!

Hacha upumbavu wako wa kidini wewe, lusinde na papa na pengo wapi na wapi?
wewe na hilo li hijabu lako na biblia wapi na wapi? na signature yako (Qur'an 7:199) kwa nini usitumie hiyo?
au Qur'an hajitoshelezi?
lini mtaenda shule na kuelimika nyie, kazi kutukanisha dini zenu tu
 
Haya, mambo hayo!

Regina mwalekwa;vijana wa chadema wameingia mtaani,vijana wanasema matokeo yanacheleweshwa na huenda yanachakachuliwa,,,,,,,polisi wanawaangalia tu hawawafanyi kitu isipokuwa wanarandaranda,,,,,,maelezo zaidi skiliza clouds
 
CCM wakishinda,basi njia ya sanduku la kura inabidi iwekwe kando.Haifanyi kazi kwenye jamii ya wananchi wajinga!Otherwise nchi ipigwe panga wajinga wabaki na viongozi wao!Hatuwezi kuchaguliwa viongozi na mabumbumbu hata siku moja.Enough is enough.Mabadiliko sasa ni lazima la sivyo tutachaguliwa viongozi vilaza na vilaza all the time.Nchi si ya vilaza peke yao hii!

Hii ndio gharama ya demokrasia na hakuna njia ya mkato, wananchi waendelee kupewa fursa ya kuwachagua viongozi wao, tuwaunge mkono wananchi kwa lolote watakaloliamua ata kama watakuwa wamewachagua Wabunge vilaza kama Maji Marefu wa CCM au Sugu wa CDM, ni uamuzi wao.
 
Mkuu wala usiwe na wasiwasi, kwa kawaida magamba huwa hawako smart kwenye kuchakachua...........mwisho wa siku watafanya mistake ndogo sana ambayo itatia nyongo kwenye matokeo yote.

Bora iwe hivo,maana jinsi walivo paa duh.
 
kuna jitu (siyo Wassira) moja la CCM huko lina roho mbaya, silipendi maana lenyewe linajua ushindi kwa CCM tu hata kama watu wafe. hili ni jitu baya sana ambalo kwa kweli linatakiwa kupelekwa The Hegue likabanwe naniliu na plaizi.

umetaja Mkapa au?
 
Jamani me naenda kulala, nina maumivu makali, chama langu Arsenal limepingwa. Naomba matokeo yakianza kutangazwa mniamshe!
 
Hili la viongozi wa magamba kutoweka hapo mjini ni vema kuwafuatilia wameenda wapi, kama wamejichimbia vijijini ni vema kujua wanafanya nini! Wasije wakakusanya masanduku yenye kura feki kama yanayokamatwa humo mtaani. Mungu ibariki Tanzania utuongoze kwenye haki!
 
Aibu yao leo lzm wapoteane.
Nani hao? CCM au CHADEMA? Uzuri wa chadema kama tumeshindwa kihalali hatuna shida kabisa. Kushindwa au kushinda ndiyo democrasia, kinachotupa shida ni kimoja tu, hayo masanduku yanayokamatwa. Maana najiuliza, kama kuna sehemu ambazo yamekamatwa, je ni vipi kwa yale maeneo ambayo makamanda wetu hawakufanikiwa kuyanasa? Ni kura ngapi bandia zinaweza kuwa zimeingizwa? Hapo ndo patakapotufanya tuingie mitaani.
 
Magamba wamefanikiwa kupenyeza kura za wizi, Kuweni Macho wasimamizi wa Chadema. Magamba walipo ona mjini hawana chao wakafunga safari za kwenda vijijini kupenya Kura feki.
 
Habari nilizo zipata hivi sasa, Novatus Makunga anatafutwa kwa kutoa habari za uongo. Hua analala wanapo lala CCM. Akipatikana anakabiliwa na kichapo cha nguvu. Matokeo mengi ya vituo kimoja kimoja yanaonyesha CDM imeshinda. Tusaidiane kuhusu hili.
 
Haya, ninachokiona hapa matokeo katika vituo kadhaa vya mjini Igunga yanaonyesha CHADEMA inaongoza na hali ni shwari sasa ila viongozi wengi wa CCM wameondoka hapa mjini igunga kila ukupita mitaani sasa ni CHADEMA mwendo mdundo. Mjini ndio kuna wapiga kura wengi hapa Igunga.

CCM wamekimbia mji hoteli waliyofikia vigogo ipo kimya. Kwa sasa nasubiri vituo vya vijijini.


Other updates:

06:00 PM Misururu ya vijana imeonekana mida ya jionijioni, yawezekana idadi ya waliopiga kura ikaongezeka.

CDM ikishinda IGUNGA nahamia Cha ga De velopment M (o)vement (a)
 
Big up

Nani hao? CCM au CHADEMA? Uzuri wa chadema kama tumeshindwa kihalali hatuna shida kabisa. Kushindwa au kushinda ndiyo democrasia, kinachotupa shida ni kimoja tu, hayo masanduku yanayokamatwa. Maana najiuliza, kama kuna sehemu ambazo yamekamatwa, je ni vipi kwa yale maeneo ambayo makamanda wetu hawakufanikiwa kuyanasa? Ni kura ngapi bandia zinaweza kuwa zimeingizwa? Hapo ndo patakapotufanya tuingie mitaani.
 
Thread ilikuwa inafuatiliwa na watu zaidi ya 2000 sasa hivi wamebaki 868. Message perceived...
 
Naona dalili kubwa za ushindi kwa CCM................well......inasikitisha sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom