Huyu Ufo Saro anastahili zawadi.Yuko makini sana huyu.
Huyu Ufo Saro anastahili zawadi.Yuko makini sana huyu.
kwani ni wao????eeeh
We all know how this is going to end. Wanawatanguliza kwanza kwa matokeo ya mjini then wanamalizia na ya vijijini baada ya kujua idadi ya kura wanazotakiwa kuchakachua!!!
Won't argue with you any more i think we are in thinking/listerning different WAVELENGTH!!! Good evening, morning, afternoon, night whichev appropriate to you depending wherever you are now!
In short matokeo ya vituo vya mjini vichache sana tells you mshindi ni chama pinzani au tawala, regardless of CCM or CDM or whatever!!!
Wakuu matokeo yanayotangazwa na Novatus Makunga YANATISHA! Makamanda hizi ndio dk za kuwa makini.Mkuu, Igunga kuna kata ngapi? sithiemu wataiba cdm wasipo kuwa makini, kaba man2man mpaka kieleweke. Mdee fanya kazi, tumechoka na sihasa chafu. Good keep it up mama.