Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
kwa mujibu wa novatus makunga wa itv haya matokeo ya kata nne yamenistua
1. Ccm -730
cdm-372
2. Ccm-664
cdm-284
3. Ccm-1479
cdm-1085
4. Ccm-1078
cdm-590
ni balaa magamba yameishafanya vitu vyao vipi????

giza likiingia tu ccm wanashinda!
 
Ungeweka progress ya matokea angalau yaliyokwisha kutangazwa wengine tuko mbali
 
There are currently 2136 users browsing this thread. (451 members and 1685 guests)
 
Masekelo shinyanga chadema wamechuka udiwani .KEEP THEIR HEAD RINGING TILL 2015
 
Kata nne mpaka sasa zimetangwa kata nne ambazo zote CCM wanaongoza, moja ya hiyo kata ni sehemu anakotoka mgombea wa CCM, kwa bahati mbaya majina ya kata sijayakariri vizuri
ccm 96 cdm 234,ccm 1078 cdm 590, ccm 1436 cdm 1085
 
More updates....

[TABLE="width: 192"]
[TR]
[TD="class: xl72, width: 64"]
[/TD]
[TD="class: xl68, width: 64"]CCM
[/TD]
[TD="class: xl69, width: 64"]CDM[/TD]
[TD="class: xl70, width: 64"]CUF
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl66"]29[/TD]
[TD="class: xl66"]87[/TD]
[TD="class: xl66"]11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl65"]59[/TD]
[TD="class: xl65"]41[/TD]
[TD="class: xl65"]1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl65"] [/TD]
[TD="class: xl65"] [/TD]
[TD="class: xl65"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl72"]JUMLA[/TD]
[TD="class: xl68"]88[/TD]
[TD="class: xl69"]128[/TD]
[TD="class: xl70"]12
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Renatus Mutabuse - ITV
 
kwakuiba kura nawajua nakimbuka miaka ya 90 babangu aligombea udiwan watu wa usalama wa taifa wakawalazimisha mawakala wakubali kusain kuwa mgombea wao (my dady) kuwa ameshindwa ingawa alishinda,,,,,ndo maana mi huwa nawaangaliaaa halafu nabaki kuwang'ong'a

Ndio tabia zao hii mijizi,yani nawachukia hawa KUKU mpaka basi
 
Zile kura 11,000 (Elfu kumi na moja) za CUF za mwaka 2010 zipo wapi wajameni?. No doubt zile zilikuwa kura za wapenzi na wakereketwa wa CHADEMA.

Nahisi kura elfu 11 za CUF kwa 2010 leo zimeamia CCM na ndo zinaweza kuwakomboa. Lkn basi tu... Bado tuna kazi kubwa aisee....
 
Kata nne mpaka sasa zimetangwa kata nne ambazo zote CCM wanaongoza, moja ya hiyo kata ni sehemu anakotoka mgombea wa CCM, kwa bahati mbaya majina ya kata sijayakariri vizuri

Subiri kidogo, anapigwa mtu gap la over 10,000 votes.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom