Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Hivi siku hizi pale central hakuna selo? Kwanini waliondolewa? Hata hamjiongezi. Wewe mwenzangu na mimi kujifananisha na Manji ni ujinga uliopita ujinga wenyewe.
 
Jaman vp kuhusu manji na yy ameruhusiwa kuondoka
 
nyie ndio mnaabudu wenye nacho hadi huamini kama sometimes sheria inawashika hadi kunyea debe lupango.
Huwa nashangaa sana watanzania walivyo na akili za ajabu, wameacha kujadili suala la njaa na matokeo ya kidato cha nne wanajadili madawa.
 
tumefuzwa basi wala ni roho zetu za husda tu na roho mbaya watu kuwa maskini wanatamani kila mtu afanane nae
Mbaya sana Kiongozi.

Badala ya kuwa na Wivu wa Maendeleo/Kimaendeleo, cha ajabu tuna wivu wa kiHUSDA.

Tatizo badala ya kupigana na Maisha ili tujue pa kutokea, tunakaa na kuangalia Watu waliopiga hatua huku tukisubiri kukinga, kitu ambacho hakiwezekani Abadan
 
Alisema Friday watu 65 ni wengi sana, na yeye hawezi ku-Q anashughuli za kufanya..
MBOWE nae aliuliza,

"Kwani huyu Makonda ni nani? mpaka anipangie muda wa kwenda kumuona saa Tano!"

MBOWE akaendelea, "kwani mimi sina shuguli za kufanya"
 
Mkuu, mwenye mawazo ya kimaskini ni yule anayeumia moyo kumuona mwenzake anafanikiwa kiuchumi. Binafsi sina mawazo hayo bali wewe na wenzako mnaochukia matajiri.

Cha muhimu na wewe pambana uwe tajiri.
Umenena Kiongozi.

Waambie hao
 
Nashauri na timu aliyoitaja kama ngao yake iwe inapimwa damu kabla ya mechi.
 
hivi kweli unajiita mafia alafu unamfata mtu unamwambia jinsi nitakavo kufanyia.unategemea nini si kupigwa kanzu tu.siku zote doni uwa haongei kama muimba taarabu
Hapo ndipo panapoleta Walakin
 
Back
Top Bottom