Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Kwa hiyo mpaka manji anajisalimisha kabisa ulitegemea ataacha ushahidi bila kuuficha??? Duuh na hapa ndipo operation ya makonda inapokosa makali..... walitegemea gwajima ajisalimishe hku ameacha kilo kumi za madawa nyumbani kwake.?? Really??? Hvi hao wahalifu ni wajinga kiasi hicho?? Dah kaz kweli kweli
Mpaka anaitwa ushahidi umeshapatikana.kesi zingine sio kama za unyang'anyi ukamsachi mtuhumiwa umkute na feni na tv zilizoibwa,la hasha
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Waende, ila soko liko bongo, watarudi kwa magoti kuomba msamaha
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, udhani watakusaidia.

Kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

Next time jifunze kuwa sasa hivi kuna muhimili umejichimbia sana chini.
Manji yuko mtaani mkuu
 
Mpaka anaitwa ushahidi umeshapatikana.kesi zingine sio kama za unyang'anyi ukamsachi mtuhumiwa umkute na feni na tv zilizoibwa,la hasha
Ushahidi upo??? Sasa mnaenda kusearch majumbani na ofisini sijui mkemia mkuu ili iweje kma ushahidi unao?? Hvi kama unaushahidi kuna haja ya kumuhoji mtu afu eti ukimkuta hana hatia kutokana na maelezo hayo mnamuachia!!!!

Yaani kuna ushahidi afu ukihojiwa unaachiwa kma iddy azzan?? Dah haya bhana makonda endelea na operation yako ila akifungwa hata mmoja let alone kufunguliwa mashtaka mahakamani ntashangaa sana
 
Back
Top Bottom