Kwani Manji na wenzake wanazuia kuzalisha matajiri wengine. Nadhani hizi ni rumours tu. Fikiria hawa wafunge biashara zao, watu wangapi watakosa ajira, Serikali itakosa kodi kiasi gani, wananchi watadhurika kiasi gani kwa kukosa bidhaa au huduma,....... .nkWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.
