Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Acha kutudangany manji saiz yupo kwake sema police wanaogopa kuweka waz insu kua jamaa ameachiwa saiz anakula bata tu na mke wake
nyie ndio mnaabudu wenye nacho hadi huamini kama sometimes sheria inawashika hadi kunyea debe lupango.
 
kwasauti ya manji: taka sifa pitia gongo yangu. mbona mimi nalipa kodi bila shida
 
manji ameajiri Zaidi ya watanzania 100 wanaomtegemea kuendesha maisha yao na familia zao wewe umeajiri wangapi wakati hata hausi geli tu anakushinda
Halafu wanajifanya eti acha waondoke, wakati hao ndiyo walipa kodi wakubwa. Hizo kaya watazilisha wao, pengo la kodi watalipa
 
hii ndio bongo, mikwala ya press, gari Kali "range rover,", 9 lawyers. lakini wapi wamekung'ang'ania hii ndo bongo da!
Ahahahaha mkuu naona unajiliwaza unaweza kutufahamisha yupo sero ipi?
 
Nilikuwa najikumbushia muvi za Hollywood za madawa ya kulevya kama ile ya new jack city na nyinginezo, hivi wale madon wa unga huwa wanajipeleka police kirahisi? Maana ukiziangalia zile movie mpk kumkamata don sterling japo hafi ila cha moto anakiona,

Naifananisha na hii movie ya bongo kwa sasa, NAONA KAMA VILE MADON BADO HAWAJAGUSWA, MAANA WANGEGUSWA SIDHANI KM WANGEJIPELEKA POLICE KWA KUITWA/KUJISALIMISHA MPAKA STERLING AKIONE CHA MOTO KWANZA

NI MOVIE TUU
 
Jaman mi nauliza tu nasikia gwajima ameruhusiwa kuondoka je vp kuhusu manji
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, udhani watakusaidia.

Kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

Next time jifunze kuwa sasa hivi kuna muhimili umejichimbia sana chini.
Kinacho endelea sasa hivi si vita dhidi ya madawa ya kulevya, bali ni kuonyeshana ubabe nani mwenye nguvu.
 
Nilikuwa najikumbushia muvi za Hollywood za madawa ya kulevya kama ile ya new jack city na nyinginezo, hivi wale madon wa unga huwa wanajipeleka police kirahisi? Maana ukiziangalia zile movie mpk kumkamata don sterling japo hafi ila cha moto anakiona,

Naifananisha na hii movie ya bongo kwa sasa, NAONA KAMA VILE MADON BADO HAWAJAGUSWA, MAANA WANGEGUSWA SIDHANI KM WANGEJIPELEKA POLICE KWA KUITWA/KUJISALIMISHA MPAKA STERLING AKIONE CHA MOTO KWANZA

NI MOVIE TUU
Filamu hiyo kacheza kitu kama ICE T hivi, kama niko sawa
 
Back
Top Bottom