DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,899
Toa evidence mkuu, kama hutojali.Manji washamuomba samahani na kumtaka asimfugulie jamaa mashtaka ndio maana yupo kimya.
Toa evidence mkuu, kama hutojali.Manji washamuomba samahani na kumtaka asimfugulie jamaa mashtaka ndio maana yupo kimya.
Mchungaji katolewa tayari tena jumamosi...Hivi Iddi ni mkristo mbona yupo nje?
Waislam na wapinzani ati!! una uhakika!!Kuna dhulma tu... yeye ni mhindi ni rahisi kuchafuliwa na isiwe kitu. ..hasa kwa sasa muhimili huu unavo wanyanyapaa waislam na wapinzani...
manji ni sadaka au kafara ya uchumi mbovu na kukosa ajira...ila unga utauzwa na matajiri wapya watazaliwa
Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
good point.Wewe unaongea hujui madhara ya kuondoka matajiri katika nchi, mpaka leo Uganda inabembeleza wafanyabiashara wake waliohama kwenda Uingereza na Canada enzi ya Raisi Iddi Amin lakini wapi, wameondoka na nguo zao lakini kwa sasa wengi wao ni wafanyabiashara wakubwa katika nchi hizo. Wafanyabiashara, wawekezaji na hata wananchi wanapenda nchi salama na inaendeshwa katika misingi ya haki na sheria. Tizama mfano wa nchi iliyo karibu ya zimbabwe wananchi wake wengi wamekuwa wakimbizi Afrika ya kusini.
Uwezo mdogo WA kufkrKenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Kasomea ujingaAmuweni wenyewe, huyu shule kasomea nini?
Amueni, sio AmuweniAmuweni wenyewe, huyu shule kasomea nini?
Kasomea ujingaAmuweni wenyewe, huyu shule kasomea nini?
Amuweni wenyewe, huyu shule kasomea nini?
huyu shule kasomea kutema madini tupuYupo selo bado!Hizi habari uchochoro mnazitoa wapi? Hivi unajua kinachoendelea kweli wewe ??
![]()
huyu shule kasomea kutema madini tupu
Amuweni wenyewe, huyu shule kasomea nini?
Wrwe unawashwaMpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, udhani watakusaidia.
Kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.
Next time jifunze kuwa sasa hivi kuna muhimili umejichimbia sana chini.
AsanteA SINCERE APOLOGY:
A man received this message from his neighbour...
"Sorry sir, I have been using your wife day and night when you are not at home, in fact, much more than you do.
I confess this now because I am feeling very guilty. Hope you will accept my sincere apologies."
Immediately after reading the message, the man shot his wife dead.
A few minutes later, he received another message:
"Sorry sir, a spelling mistake...
I meant Wifi. not Wife."
Always be patient in typing, Also in taking actions. Patience is a Virtue.
Jamaa hatoki kwenye hii kesi we subiri majibu yake kama wamempeleka kwa mkemia mkuu, uyu jamaa teja kindaki ndaki sasa hapo atasema anunua wapiAlidhani anaenda kutaja umli na vyeo ndio maana akaenda siku moja Kabla asipokutwa na hatia Makonda kazi anayo
Huu ndio uzuri wa Karma! Unashugulikiwa kama unavyoshughulikia wengine! (aisome FF)Amueni, sio Amuweni