agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
Ulitaka wabembelezwe kiss wana pesa eeeeUnadhani ni rahisi kama unavyofikiri kuzalisha matajiri.ujielewi ww.watu wamejenga unakuja kirahisi kutaka kuwachafua kwa karatasi za kipuuzi.hakuna anayepinga mapambano ya dawa za kulevya ila mbinu zile za kudharirisha watu.Najua vijana wanaathirika lkn tutumie njia njema na kufuata misingi ya utawala bora na sheria angalia sasa kati ya 65 amekuja 4 tena maarufu tu kwa sababu aliwarenga wale hwachafue ndo maana wengine akawa anataja a.k.a.unapambana na jambo km ilo unfanya maigizo.mwisho ni kuwadharirisha tu.