frank matovu
Senior Member
- Jan 7, 2014
- 141
- 108
Wengi Waliochangia Post Ya Shabiki Wa Cmba N Wana Cmba
Manji Yupo Kwake,muda U Anakula Tu Kacholi Za Pilipili
Manji Yupo Kwake,muda U Anakula Tu Kacholi Za Pilipili
Endeleeni kuwaamini.Mwenye majibu Ya hili swali ni kamanda Siro Simoni
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Kwa akili yako kabisa eti manji yupo ndani. Mnachekesha sana![]()
Usiwaze kitoto na kimaskini,...kuhamisha multimillion investments sio sawa na kutoka tandale kwenda madale!Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Acha kutudangany manji saiz yupo kwake sema police wanaogopa kuweka waz insu kua jamaa ameachiwa saiz anakula bata tu na mke wakeMpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.
kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.
next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Anafanya nini huko ndaniYupo ndan mpaka hv nnavyoandika hii comment.
tajili= tajiriBinafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
Ndugu, fikra zako ni ndogo sana!!!! Waende then mtazaliza matajiri wengine!!! Umewaza nn?Waende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Hatutamfikia utajiri wake bali kuna jambo moja zuri kwamba vita hii haikuangalia hali ya uchumi wa mtu. Hiyo ni historia ishaandikwa.Hata akikaa wiki nzima bado haitoondoa ukweli kama sisi wote tunaofurahia hatuwezi kumfikia utajiri wake hata robo!
Ndani wapi...hahahahaYupo ndan mpaka hv nnavyoandika hii comment.
Waende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Hivi kumbe sero ni jehanamu???Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.
kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.
next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.