TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,206
- 25,399
Yes nipo poa kabisa tunaendeleza mapambano.Nipo mkuu huenda tunapishana tu, upo salama lkn?
Yes nipo poa kabisa tunaendeleza mapambano.Nipo mkuu huenda tunapishana tu, upo salama lkn?
Sawa mzeeHata hivyo Mkuu. Kwenye ratiba ya mazishi kwa pale chini tena kwa kalamu nyekundu pameandikwa hivi: "TAFADHALI ZINGATIA UMBALI NA UVAAJI WA BARAKOA" kwamaana nyingine kuna idadi maalum ya waombolezaji itakayohitajika.
Wafrika kabla hatujaletewa hizi dini za kikristoMASHARTI YA MAZISHI YA BW. NICHOLAUS IMBIANDUMI NDAASHUKA MUNUO @ _Lord MUNUO!!!
LORD MUNUO, Wakili maarufu wa Arusha, ametamgulia mbele za haki.
MASHARTI YAKE:
1. Atazikwa na ngozi bila jeneza na amesema atazikwa na ngozi ya Chui
2. Mwili wake utafungwa na masago ya migomba
3. Anazikwa mwenye zizi la ng'ombe ambalo lipo maji ya chai ambako alikuwa anafuga mifugo yake
4. Kaburi lake litawekwa Kinyesi cha ngombe tu bila udongo
5. Hakuna kuomboleza
6. Walioalikwa tu ndio watakaohudhuria mazishi kwa maana ya wanafamilia tu
7. Anazikwa kimila na familia yake na hakuna kanisa au msikiti uloalikwa
8. Jina lake ni Nicholas Imbiandumi Ndaashuka Munuo ila alienda kuapa mahakamani akajibadolisha jina akaitwa Lord Ng'uni Imbiandumi Ndaashuka Munuo. Ng'uni ni kijiji alichozaliwa
9. Ng'uni ndiko makao makuu ya Bantu Union ambako yeye ndiuo founder wake alikuwa na president wake
Mengine naendelea kuyafuatilia kuna masharti inasemekana 100 yameandikwa kisheria
Sawa injinia!na kuanzia sasa uache kwenda kanisaniSafi sana, hakuna kuendekeza tamaduni za watesi wa mababu zetu (wazungu na waarabu), washenzi, watese mababu zetu halafu bado tukumbatie imani zao?


au msikitiniDaa, sikumbuki lini nilienda church mara ya meishoSawa injinia!na kuanzia sasa uache kwenda kanisaniau msikitini
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
HahahahahaDaa, sikumbuki lini nilienda church mara ya meisho
Nilifanikiwa kuongea nae sana hasa mambo ya dini. hakuyakubali kabisaaaa.....Yeye alikuwa akisisitiza kila jamii ina nabii wake.
Aliamini kuwa "Yeye alikuwa Nabii kwa Wabantu..







AmenNdiyo nina uhakika kwa imani yangu ktk maandiko matakatifu (Biblia)
1 Wathesalonike :4:16
Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
Unasumbuliwa na "kiburi" cha uzima. uzima ukiteteleka kwa namna yoyote ile utamkumbuka Mungu, utamtafuta na unaweza kuwa umechelewa.Unaelewa kwamba ukiwa na imani maana yake huna hakika?
Thibitisha ufufuo utatokea.
We haya una uwakika nayo?ymeyajulia wap?Binadamu ukisha kufa unakua hua faida tena, lolote litakalofanyika nyuma yako halina manufaa yeyote kwako, baada ya kifo kitakachokusaidia ni matendo yako mema uliyokua ukiyafanya enzi za uhai wako, zingine mbwembwe tu.
we haya uliyoyasema una uwakika nayo?umeyajuaje kuwa ni kweli bila mashaka?Binadamu ukisha kufa unakua hua faida tena, lolote litakalofanyika nyuma yako halina manufaa yeyote kwako, baada ya kifo kitakachokusaidia ni matendo yako mema uliyokua ukiyafanya enzi za uhai wako, zingine mbwembwe tu.
Zaburi 53:1Acha ubeberu bhn siku ya mwisho ipi?tusitishane mkuu hamna lolote uongo wa Mzungu tu huo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
ZABURI 14: 1Una hakika huo ufufuo upo kweli au umelishwa matango ya pori tu?
Unaweza kuthibitisha ufufuo upo kweli?
Yumkini unamuelewa mzee kwa undani zaidi maana tukio la kulazwa ndani na mkewe lilitokea huko kanisani KKKT masama alipopiga honi kumuita mkewe wakati ibada inaendelea na kusababisha usumbufuHuyo akili iliishachoka. Uzikwe kaburi lijazwe samadi, hata na cheo chake kitaaluma maamuzi yake ni kuwasumbua watu.
Au ndo aliona amkomeshe huyo mke aliyemlaza korokoroni.
Anyways hakuna jipya chini ya mbingu.
Mkuu acha urongoo....mama munuo alikua jaji wa kwanza mwanamkee.pia hon mzee alipiga mahakamani sio kanisani.sio lazima kila kitu ujieYumkini unamuelewa mzee kwa undani zaidi maana tukio la kulazwa ndani na mkewe lilitokea huko kanisani KKKT masama alipopiga honi kumuita mkewe wakati ibada inaendelea na kusababisha usumbufu
Umasikini wa fikraHayo ni yake bwana Munuo siku ya ufufuo ndiyo atajua hakujua kuna msemo ni heri uamini kuna Mungu halafu usimkute kuliko kuamini hakuna Mungu halafu uje ukutane naye hapo ndipo patakuwa kilio na kusaga meno
Una akili sanaWapi kasema hakuna Mungu ? Au unafikiri kuamimi hizo dini mbili kuu ndio kuamini Mungu.Mungu yupo kabla ya hizo dini za wakoloni