Anaweza kuwa alikuwa na percentage fulani ya UCHIZI hivyo watu wake wachukue nafasi kujiridhisha na hatua za kuchukua.
Yeye pamoja na kuwa Wakili asiwekee watu masharti ya nini cha kufanya juu yake kwani ameshakufa, otherwise kama anadhani alikuwa super intelligent basi angesubiri AJIZIKE mwenyewe!
Asiwe kama Reginald Mengi ambaye naye aliweka sharti la mtu akishinda kesi dhidi ya wosia wake basi alipwe Tshs.1,000/= wakati akijua hata legal papers za kutolea hiyo judgment ni worth zaidi ya hiyo Tshs.1000!
WASIPANGIE WATU CHA KUFANYA!