Masharti ya mazishi ya Wakili Munuo

Masharti ya mazishi ya Wakili Munuo

Hayo ni yake bwana Munuo siku ya ufufuo ndiyo atajua hakujua kuna msemo Ni heri uamini kuna Mungu halafu usimkute kuliko kuamini hakuna Mungu halafu uje ukutane naye hapo ndipo patakuwa kilio na kusaga meno
Wapi kasema hakuna Mungu ? Au unafikiri kuamimi hizo dini mbili kuu ndio kuamini Mungu.Mungu yupo kabla ya hizo dini za wakoloni
 
Back
Top Bottom