Masharti ya mazishi ya Wakili Munuo

Masharti ya mazishi ya Wakili Munuo

Matendo yako yatakusaidia wapi?
Mkuu kwenye imani ya dini ni kwamba kuna hukumu baada ya kifo,binadamu anatakiwa aishi katika misingi aliyoiamrisha Mungu,kumbuka nimesema kwenye IMANI ya kidini,kama wewe huna imani hiyo siwezi kukubadilisha,endelea kuamini unachokiamini.
 
Huyu mdingi alikuwaga na ofisi yake pale maeneo ya NAAZ HOTEL,nilikuwa namuonaga kama chizi maarifa Fulani.
Huyu mzee nyumbani kwake Moshi alikuwa ameweka bango kabisa limeandikwa hayo majina, enzi hizo nikiwa kijana mshambamshamba kama Mzee baba Magu... kutoka kijijjni nilikuwa nafika hapo nabaki nashangaa tu jamaa linaitwa LORD? Wachagga mna mambo!!
 
Hayo ni yake bwana Munuo siku ya ufufuo ndiyo atajua hakujua kuna msemo ni heri uamini kuna Mungu halafu usimkute kuliko kuamini hakuna Mungu halafu uje ukutane naye hapo ndipo patakuwa kilio na kusaga meno
Acha ubeberu bhn siku ya mwisho ipi?tusitishane mkuu hamna lolote uongo wa Mzungu tu huo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom