Masharti ya mazishi ya Wakili Munuo

Masharti ya mazishi ya Wakili Munuo

Siku ya mazishi yake ndg watakamatwa kwa uhujumu uchumi, yule jamaa kafungwa 20ears kwa kupatikana na maini ya swala tu.
Ije kuwa ngozi ya chui? Ila wana mawe maana kumuwinda chui Dume inafika $30000.
Wakati mdogo wake rostam alitembea tuu hizo kesi ni za maskini.
 
Anaweza kuwa alikuwa na percentage fulani ya UCHIZI hivyo watu wake wachukue nafasi kujiridhisha na hatua za kuchukua.

Yeye pamoja na kuwa Wakili asiwekee watu masharti ya nini cha kufanya juu yake kwani ameshakufa, otherwise kama anadhani alikuwa super intelligent basi angesubiri AJIZIKE mwenyewe!

Asiwe kama Reginald Mengi ambaye naye aliweka sharti la mtu akishinda kesi dhidi ya wosia wake basi alipwe Tshs.1,000/= wakati akijua hata legal papers za kutolea hiyo judgment ni worth zaidi ya hiyo Tshs.1000!

WASIPANGIE WATU CHA KUFANYA!
 
Hayo ni yake bwana Munuo siku ya ufufuo ndiyo atajua hakujua kuna msemo ni heri uamini kuna Mungu halafu usimkute kuliko kuamini hakuna Mungu halafu uje ukutane naye hapo ndipo patakuwa kilio na kusaga meno
Una hakika huo ufufuo upo kweli au umelishwa matango ya pori tu?

Unaweza kuthibitisha ufufuo upo kweli?
 
Duniani kuna mambo mengi sana ya kufurahisha na kustaajabisha!
Nilifanikiwa kuongea nae sana hasa mambo ya dini. hakuyakubali kabisaaaa.....Yeye alikuwa akisisitiza kila jamii ina nabii wake.
Aliamini kuwa "Yeye alikuwa Nabii kwa Wabantu..
 
Una hakika huo ufufuo upo kweli au umelishwa matango ya pori tu?

Unaweza kuthibitisha ufufuo upo kweli?
Ndiyo nina uhakika kwa imani yangu ktk maandiko matakatifu (Biblia)

1 Wathesalonike :4:16
Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
 
Yaani tuseme ikitokea Mungu akaamua kuwa wote waliowahi kutangulia mbele ya haki wakiwa wanatambua uwepo wake, awachukue na kuwapeleka Paradiso, inabidi huyu awe mmoja wa wale ambao atawabakiza pale pale walipo bila kuwagusa, si ndiyo?
 
Kikwetu tunasema "lakum diynukum waliyadiin".
Sahihi kabisa.

Surah Kafiroon,

Say "O disbelievers'
I do not worship what u worship,
Nor are u worshippers of what i worship,
Nor will i be a worshipper of what u worship,
Nor will you be worshippers of what i worship,
For u is your religion,and for me is my religion.
 
Ndiyo nina uhakika kwa imani yangu ktk maandiko matakatifu (Biblia)

1 Wathesalonike :4:16
Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
Unaelewa kwamba ukiwa na imani maana yake huna hakika?

Thibitisha ufufuo utatokea.
 
nashangaa tu jamaa linaitwa LORD? Wachagga mna mambo!!
Alikuwa kiongozi wa wachawi ndio maana aliitwa Lord

Ndio maana unaona Madison yake ni kwa kualikwa

Watahudhuria wachawi wenzie watupu

Na yawezekana akazikwa usiku

Na lazima kutatokea kitu cha ajabu siku ya mazishi yake
 
Unaelewa kwamba ukiwa na imani maana yake huna hakika?

Thibitisha ufufuo utatokea.
Hiyo tafsiri yako ya imani kwangu ni kinyume kwa mujibu wa maandiko matakatifu (Biblia) tuisome hapa

EBR. :11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana

Nimekuthibitishia kwa mujibu wa biblia hapo awali labda kama hukuelewa ila kwa mujibu wa biblia kuna ufufuo Kristo Yesu Bwana na mwokozi wetu atakaporudi tena kwa sisi tulio na imani kwake hatuna shaka juu ya hilo
 
Back
Top Bottom