Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,222
- 18,381
Hilo ndilo la muhimu zaidi!! Nani anyooshe kidole kujibu hili?
Lakini msosi upo?
Lakini msosi upo?
Biblia ina contradictions nyingi sana, hivyo si authority.Hiyo tafsiri yako ya imani kwangu ni kinyume kwa mujibu wa maandiko matakatifu (Biblia) tuisome hapa
EBR. :11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana
Nimekuthibitishia kwa mujibu wa biblia hapo awali labda kama hukuelewa ila kwa mujibu wa biblia kuna ufufuo Kristo Yesu Bwana na mwokozi wetu atakaporudi tena kwa sisi tulio na imani kwake hatuna shaka juu ya hilo
Acha kutisha watu kitoto hivyo.Hayo ni yake bwana Munuo siku ya ufufuo ndiyo atajua hakujua kuna msemo ni heri uamini kuna Mungu halafu usimkute kuliko kuamini hakuna Mungu halafu uje ukutane naye hapo ndipo patakuwa kilio na kusaga meno
Hayo ni yake bwana Munuo siku ya ufufuo ndiyo atajua hakujua kuna msemo ni heri uamini kuna Mungu halafu usimkute kuliko kuamini hakuna Mungu halafu uje ukutane naye hapo ndipo patakuwa kilio na kusaga meno
mimi nina dini yangu na ninyi mna dini yenuKikwetu tunasema "lakum diynukum waliyadiin".
Alisoma elimu yaoHuyu wakoloni hawakufanikiwa kum brain wash.
Nilifanikiwa kuongea nae sana hasa mambo ya dini. hakuyakubali kabisaaaa.....Yeye alikuwa akisisitiza kila jamii ina nabii wake.
Aliamini kuwa "Yeye alikuwa Nabii kwa Wabantu..
Mkuu kwenye imani ya dini ni kwamba kuna hukumu baada ya kifo,binadamu anatakiwa aishi katika misingi aliyoiamrisha Mungu,kumbuka nimesema kwenye IMANI ya kidini,kama wewe huna imani hiyo siwezi kukubadilisha,endelea kuamini unachokiamini.
Anaweza kuwa alikuwa na percentage fulani ya UCHIZI hivyo watu wake wachukue nafasi kujiridhisha na hatua za kuchukua.
Yeye pamoja na kuwa Wakili asiwekee watu masharti ya nini cha kufanya juu yake kwani ameshakufa, otherwise kama anadhani alikuwa super intelligent basi angesubiri AJIZIKE mwenyewe!
Asiwe kama Reginald Mengi ambaye naye aliweka sharti la mtu akishinda kesi dhidi ya wosia wake basi alipwe Tshs.1,000/= wakati akijua hata legal papers za kutolea hiyo judgment ni worth zaidi ya hiyo Tshs.1000!
WASIPANGIE WATU CHA KUFANYA!
Kwanini Mkuu?? Dini haitoshi kuwa tiketi ya kumpeleka mtu Paradiso bali matendo yake ya hapa Duniani.Yaani tuseme ikitokea Mungu akaamua kuwa wote waliowahi kutangulia mbele ya haki wakiwa wanatambua uwepo wake, awachukue na kuwapeleka Paradiso, inabidi huyu awe mmoja wa wale ambao atawabakiza pale pale walipo bila kuwagusa, si ndiyo?
Hata hivyo Mkuu. Kwenye ratiba ya mazishi kwa pale chini tena kwa kalamu nyekundu pameandikwa hivi: "TAFADHALI ZINGATIA UMBALI NA UVAAJI WA BARAKOA" kwamaana nyingine kuna idadi maalum ya waombolezaji itakayohitajika.[emoji23][emoji23][emoji23]hata mimi nilifikiria kama wewe.
Nikajua pengine wazikaji wasizidi 10
View attachment RATIBA YA MAZISHI 29.01.2021.pdfAlikuwa kiongozi wa wachawi ndio maana aliitwa Lord
Ndio maana unaona Madison yake ni kwa kualikwa
Watahudhuria wachawi wenzie watupu
Na yawezekana akazikwa usiku
Na lazima kutatokea kitu cha ajabu siku ya mazishi yake
Kumjua Mungu piaKwanini Mkuu?? Dini haitoshi kuwa tiketi ya kumpeleka mtu Paradiso bali matendo yake ya hapa Duniani.
Nani nimemtisha?Acha kutisha watu kitoto hivyo.
Nipo mkuu huenda tunapishana tu, upo salama lkn?Mjoli umehadimika sana, sikuoni jukwaani kabisa!
Safi sana, hakuna kuendekeza tamaduni za watesi wa mababu zetu (wazungu na waarabu), washenzi, watese mababu zetu halafu bado tukumbatie imani zao?MASHARTI YA MAZISHI YA BW. NICHOLAUS IMBIANDUMI NDAASHUKA MUNUO @ Lord MUNUO!!!
LORD MUNUO, Wakili maarufu wa Arusha, ametamgulia mbele za haki.
MASHARTI YAKE:
1. Atazikwa na ngozi bila jeneza na amesema atazikwa na ngozi ya Chui
2. Mwili wake utafungwa na masago ya migomba
3. Anazikwa mwenye zizi la ng'ombe ambalo lipo maji ya chai ambako alikuwa anafuga mifugo yake
4. Kaburi lake litawekwa Kinyesi cha ngombe tu bila udongo
5. Hakuna kuomboleza
6. Walioalikwa tu ndio watakaohudhuria mazishi kwa maana ya wanafamilia tu
7. Anazikwa kimila na familia yake na hakuna kanisa au msikiti uloalikwa
8. Jina lake ni Nicholas Imbiandumi Ndaashuka Munuo ila alienda kuapa mahakamani akajibadolisha jina akaitwa Lord Ng'uni Imbiandumi Ndaashuka Munuo. Ng'uni ni kijiji alichozaliwa
9. Ng'uni ndiko makao makuu ya Bantu Union ambako yeye ndiuo founder wake alikuwa na president wake
Mengine naendelea kuyafuatilia kuna masharti inasemekana 100 yameandikwa kisheria
Ushirikina ndio kitu gani? Umechotwa akili na watesi wa mababu zetuHiyo ngozi ya chui ipo wapi kumbe na wasomi ni washikina?
Kwahiyo yeye kufanya hivyo ndio ina maana haamini juu ya uwepo wa Mungu? Kwahiyo Mungu ni yule wa wazungu na waarabu tu? Aiseee, watu mnajua kuchotwa akiliHayo ni yake bwana Munuo siku ya ufufuo ndiyo atajua hakujua kuna msemo ni heri uamini kuna Mungu halafu usimkute kuliko kuamini hakuna Mungu halafu uje ukutane naye hapo ndipo patakuwa kilio na kusaga meno